Tuesday 13 May 2014

MAUAJI YA KUTISHA: ALBINO AUAWA, AKATWA MGUU, VIDOLE HUKO SIMIYU

...

Mwili wa marehemu Nughu Lugata ulivyokutwa.
Mguu wa marehemu Nughu Lugata ukiwa umekatwa.
MAREHEMU Nughu Lugata ambaye ni albino ameuawa na viungo vyake kuchukuliwa na watu wasiojulikana jana majira ya saa moja jioni huko Bariadi mkoani Simiyu.
Nughu ameuawa kwa kukatwa mapanga na baadhi ya viungo vyake kama mguu wa kushoto na vidole vitatu kuchukuliwa na watu wasiojulikana.
Marehemu alikuwa mkazi wa Gasuma akijishughulisha na kilimo.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger