Monday 30 June 2014

TAZAMA PICHA 5 JINSI WANAFUNZI WA UDOM WALIPOKUWA WAKIGOMBANIA USAFIRI KURUDI MAKWAO BAADA YA CHUO KUFUNGWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


 Askari polisi anayelinda usalama wa abiria na mali zao katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani akijalibu kutoa maelekezo kwa wanafunzi wa UDOM waliofika kutafuta usafiri kituoni hapo na kukuta hali ya usafiri hailidhishi kutokana na uchache wa Mabasi.
Share:

WIZI WA PIKIPIKI:DEREVA BODA BODA AUAWA KIKATILI NA KUPORWA PIKIPIKI YAKE!

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Picha hii ni ya dereva boda boda mkazi wa kijiji cha ITAKA MBOZI aliye uawa
Share:

MSAJILI WA VYAMA VINGI AKATAA MABADILIKO YA CHADEMA



mutunga_f8c6f.jpg
Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imesema haitambui kuondolewa kwa kipengele cha ukomo wa uongozi uliofanywa na Chadema bila kufuata idhini ya mkutano mkuu wa chama hicho.
Mwaka 2006, Katiba ya Chadema ilifanya marekebisho yaliyoruhusu wanachama kugombea uongozi bila ukomo wakati awali, waliruhusiwa kugombea kwa vipindi viwili vya miaka mitano.
Share:

MECHI KATI YA BRAZIL VS COLOMBIA: BRAZIL YAIFUNGA COLOMBIA MARA 15 KATIKA MECHI 25

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Nyota wa Brazil, Neymar akishangilia mojawapo ya mabao aliyoifungia timu yake katika fainali zinazoendelea

MECHI ya robo fainali baina ya Brazil na Colombia ni ya kwanza kabisa kwa timu hizo mbili za Amerika Kusini kupambana
kwenye mashindano ya fainali za Kombe la Dunia, lakini ni ya 26 kuzikutanisha timu hizo katika historia yao.
Ukitazama rekodi vitabuni, unaweza kusema kwamba Colombia ni vibonde wa Brazil, kwani katika mechi 25 walizocheza tangu mwaka 1945 mpaka sasa, Brazil imeshinda jumla ya 15, kutoka sare mara nane na kufungwa mechi mbili tu.
Kwa ujumla wake, Brazil imefunga mabao 55-11, ikiwa ni rekodi kubwa mno ya mabao.
Timu hizo zimepambana mara 10 katika mashindano ya awali ya Kombe la Dunia ambapo katika mechi hizo Brazil imeshinda mara tano na kutoka sare mara tano pia.
Aidha, katika mashindano ya Ubingwa wa Amerika Kusini maarufu kama Copa America (zamani yakijulikana kama South American Championship), timu hizo zimepambana mara tisa na Brazil imeshinda mara saba, kutoka sare moja na kupoteza moja.
Zilipopambana katika mashindano ya 7 ya Kombe la Dhahabu (Gold Cup) kule Miami, Marekani mwaka 2003, Brazil ilishinda kwa mabao 2-0.
Share:

CCM YAWABEMBELEZA CUF KUREJEA BUNGE LA KATIBA-MWEZI WA NANE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar,Vuai Ali Vuai
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Vuai Ali Vuai, amesema ikiwa wajumbe wa Bunge la Maalum la Katiba kutoka Chama cha Wananchi (CUF) hawatorejea bungeni, wataikosesha Zanzibar fursa za kiuchumi.
Share:

MASAA MACHACHE KABLA YA MECHI YA ALGERIA NA GERMANY-KOCHA AKERWA NA SWALI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                     
Kocha Vahid Halilhodzic amesema swala kufunga au la ni la kibinfasi
Kocha wa timu ya taifa ya Algeria ambayo inashiriki kombe la dunia nchini Brazil, Vahid Halilhodzic amekataa kufichua idadi ya wachezaji wake ambao wanafunga mfungo wa Ramadhan kabla ya mechi yake na Ujerumani baadaye Jumatatu
Share:

DR SALIM AFICHUA SIRI YA JT NA TUME YA WARIOBA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                      “Ni vizuri viongozi wakaandaliwa, isiwe mtu anaibuka tu anagawa hela halafu anashinda. Anatakiwa mtu atakayeweza kushughulikia matatizo ya Watanzania. Watanzania ni wapole na wavumilivu lakini wanazungumza. Hivyo anahitajika kiongozi atakayesikiliza mahitaji yao na kutoa suluhisho, si kutoa ahadi za uongo,” Dk Salim Ahmed Salim
KWA UFUPI
Abainisha ilikuwa ikimpa taarifa kwa kila hatua iliyokuwa ikifikia, asema alishangaa kumsikia akiikosoa katika Bunge la Katiba
Dk Salim: Sina mpango na urais 2015
Share:

HAWA NDIO WASHINDI WA TUZO ZA BET 2014,BEYONCE ACHUKUA 3

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Pharrell Williams na Missy Elliot wakifungua shoo ya utoaji tuzo za BET usiku wa kuamkia leo jijini Los Angeles.
Share:

AVEVA ACHAGULIWA KUWA RAIS MPYA SIMBA SC

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Amin Bakhresa akitangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Simba SC.
Share:

Sunday 29 June 2014

TANGAZO LA ORODHA YA MAJINA YA KUITWA KAZINI 27 JUNI 2014,KWA WAOMBAJI WALIOFANYA USAILI TAR.05 HADI 06 JUNE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY1
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Kumb. Na. EA.7/96/01/G/30 27 Juni, 2014 KUITWA KAZINI 

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kuanzia tarehe 05 hadi 06 Juni, 2014  kuwa walioorodheshwa katika tangazo hili wamefaulu usaili na wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri kama ilivyoonyeshwa katika tangazo hili.   Aidha, wanatakiwa kuripoti katika vituo vyao vipya vya kazi katika muda ambao umeainishwa katika barua zao za kupangiwa vituo vya kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals Certificates) vya masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya ajira.  Kwa Waombaji Kazi walioitwa katika Wizara ya Maliasili na Utalii wote kwa pamoja wanatakiwa kuripoti Chuo Cha Taifa cha Utalii Tandika, Wilayani Temeke tarehe 14/07/2014 Saa 2:00 Asubuhi Bila kukosa.
Barua za kuwapangia vituo vya kazi kwa walioitwa katika Taasisi ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania zimetumwa kupitia anuani zao. Aidha, wale ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba mara nafasi za kazi zitakapotangazwa tena. 
ANGALIA MAJINA HAYO...HAPA CHINI
Share:

MAJINA MAPYA YA VIONGOZI CUF TAIFA BAADA YA UCHAGUZI MKUU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
1.MWENYEKITI PROFESA IBRAHIM LIPUMBA
2.KATIBU MKUUU......MAALIM SEIF

3. Naibu Katibu Mkuu (Bara), Mhe. Magdalena Sakaya.

4. Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar), Mhe. Nassor Ahmed Mazrui.
Share:

MWENYEKITI WA CCM KATA YA BUSAMBALA BUTIAMA afariki dunia-baada YA MAJAMBAZI KUMUUA


Watu  wanadhaniwa  kuwa ni majambazi wamemuua kinyama kwa kupiga  risasi moja ya kichwani mwenyekiti  wa chama cha mapinduzi  kata ya Busambala wilayani Butiama mkoani Mara Bw Willison Opio mwenye umri wa miaka 6o huku kichwa chake kikisambaratishwa  kabisa na risasi hiyo.
Share:

HOTUBA YA MH.MIZENGO PINDA-WAZIRI MKUU WAKATIA AKIFUNGA SHUGHULI ZA BUNGE JANA DODOMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
PG4A9702
UTANGULIZI

a)    Masuala ya Jumla

Mheshimiwa Spika,
1.    Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutupatia uzima na afya hadi kufikia siku ya leo. Tumekuwepo hapa kwa takriban miezi miwili ambapo tumeweza kupokea na kujadili Taarifa za Mapitio ya Utekelezaji wa Kazi za Serikali kwa mwaka 2013/2014 na Mwelekeo kwa mwaka 2014/2015 kwa Wizara mbalimbali na hatimaye kupitisha Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2014/2015.

2.    Napenda kutumia nafasi hii ya awali kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge wote kwa kazi nzuri ya kutukuka ambayo wameifanya kwa nidhamu na ufanisi mkubwa, hususan wakati wa Mjadala wa Bajeti ya Serikali na Mafungu ya Wizara za Kisekta. Kipekee niwashukuru Wajumbe wa Kamati ya Bajeti chini ya Uongozi mahiri wa Mheshimiwa Mtemi Andrew John Chenge, Mbunge wa Jimbo la Bariadi Magharibi kwa kazi yao nzuri ya kuchambua Bajeti ya Serikali na Sheria zinazoambatana na masuala ya Bajeti. Changamoto zilikuwa nyingi,   lakini   kwa   pamoja   tumekubaliana   na   kuafikiana. Kazi kubwa iliyoko mbele yetu ni kwenda kushirikiana na Wananchi katika utekelezaji wa Bajeti hii ili kuwaletea maendeleo.

Mheshimiwa Spika,
3.    Katika kipindi hiki tukiwa hapa Bungeni, yapo matukio ya kusikitisha yaliyotokea ambapo baadhi ya Waheshimiwa Wabunge walipoteza Wapendwa wao. Aidha, yapo matukio ya Kitaifa yaliyosababisha kupoteza maisha ya Ndugu, Jamaa na Marafiki. Napenda kutumia nafasi hii kuwapa pole Waheshimiwa Wabunge na Watanzania wote waliofikwa na misiba na majanga mbalimbali, ikiwa ni pamoja na wote waliopotelewa na Ndugu, Jamaa na Marafiki.

Mheshimiwa Spika,
4.    Kipekee niwape pole ndugu, jamaa na marafiki waliopotelewa na ndugu zao na wote waliopata majeraha wakati kulipotokea Mlipuko wa Bomu pale Darajani, Zanzibar. Tukio hili la kusikitisha halipendezi kwa Nchi yetu. Niwaombe Wananchi wote kwa umoja wetu tushirikiane kuwa Walinzi katika maeneo yetu na kuwezesha kuwatambua mapema wale wote wenye nia mbaya ya kuharibu amani na utulivu katika Taifa letu.

Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
2_0603b.jpg
Share:

TANGAZO KWA FORM IV WOTE MLIOKOSA NAFASI ZA KWENDA KIDATO CHA TANO 2014 ,SASA UTASOMESHWA BURE KABISA SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER
Share:

Saturday 28 June 2014

NAFASI MPYA ZA KAZI-KUJITOLEA KWA MUDA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

MATOKEO BRAZIL NA CHILE:BRAZIL YATINGA ROBO FAINALI KWA MATUTA,HONGERA CHILE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


WENYEJI Brazil wameitoa Chile kwa penalti 3-2 katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia mjini Uwanja wa Belo Horizonte, kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika 120.
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI - JUNI 29

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

MWANAMKE ASALIMISHA SHANGA ZA MAJINI KANISANI SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mwanamke anayefahamika kwa jina la Asnath Terevaeli akikabidhi shanga kwa Mchungaji Kiongozi, (Frank Endrew) wa Kanisa la Ufufuo na Uzima mkoani Arusha.Katika hali ya kushangaza, mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Asnath Terevaeli hivi karibuni aliamua kukabidhi kanisani shanga za majini kwa kile alichodai kuwa, zimekuwa zikimtesa na kumfanya akose amani.
Share:

AJALI YA NOAH SINGIDA-WATATU WAFARIKI,KUMI WAJERUHIWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Watu watatu wamekufa na wengine kumi wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Noha kupasuka tairi ya nyuma na kubingirita mara tatu katika kijiji cha Januka manispaa ya Singida.
Share:

BAI LA NBS LAPATA AJALI-KIMARA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Muonekano wa mbele wa basi la NBS T719 AZC baada ya kugonga basi la Princes Muro T892 BUR lililokuwa likitokea Dar
kwenda Mwanza eneo la Kimara.
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI-MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
01_293fb.jpg
Share:

ADA VYUO VYA UALIMU JUU,YAPANDA ZAIDI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

\Serikali imepandisha maradufu ada kwa wanafunzi wanaosomea ualimu kwenye vyuo vya ualimu nchini kuanzia muhula ujao wa masomo.
Share:

BARCELONA YAMWINDA SUAREZ


Licha ya kukabiliwa na marufuku ya FIFA ya miezi minne kwa kumng'ata mlinzi wa Italia Giorgio Chiellini Barcelona ya Uhispania haijakata tamaa ya kumsajili mshambulizi machachari wa wa Uruguay Luiz Suarez.
Share:

MBASHA NA FLORA-"MUNGU YUMWEMA SIKU ZOTE" BIFU LIMEISHA WASAMEHANA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Stori: WAANDISHI WETU
HAKUNA neno zuri la kusema zaidi ya Mungu mkubwa! Ule mtafaruku ndani ya ndoa ya mwimba Injili mahiri Bongo, Flora na mumewe, Emmanuel Mbasha umedaiwa kumalizika kwa wawili hao kupatana, Risasi Jumamosi linakuwa nambari wani kukuhabarisha.
Share:

JAMAA AUAWA KWA TUHUMA ZA WIZI WA TV NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Kijana mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 28-30 ambaye hajafahamika jina lake wala makazi ameuawa na wananchi wanaodaiwa kuwa na hasira kwa tuhuma za wizi katika mtaa wa Muhongolo wilayani Kahama mkoani Shinyanga.
Share:

DIAMOND PLATNUMZZ KATIKA BET AWARDS NYINGINE TENA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnumz’.
UMEKUCHA! Unaweza kusema kwa maana nyingine wakati wasanii kutoka Afrika watakapokuwa pamoja kwenye Ukumbi wa Nokia Theatre uliopo Los Angeles, Marekani katika sherehe za utoaji tuzo za BET 2014 kesho Juni 29.
Macho na masikio yote yameelekezwa kwa mtu mmoja kutoka Tanzania ambaye ni Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnumz’.
Share:

JAMANI NANOMBA TUMSAIDIE KIJANA HUYU-YEYOTE MWENYE UWEZO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


“Eeh Mungu sikia kilio changu unisaidie!” Ndivyo alivyoanza kusimulia mtoto Salum Kassim (16), mkazi wa Kilimahewa-Tandika, Dar, ambaye ameteseka kwa muda wa miaka minne (siku 1440) akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo.
Share:

JOINT MASS-SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE-MAZIMBU KWA AJILI YA MITIHANI YA UE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                        

Wanfunzi wa chuo kikuu cha sokoine kilichopo mjini morogoro jana wame fanya misa ya pamoja kwa ajili ya mitihani inaoenda kuanza hapo jumatatu.
Share:

Friday 27 June 2014

WANAFUNZI UDOM WADAI PESA ZAO ZA FIELD,WATISHIA KUANDAMANA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                      
Kwa taarifa tulizozipata hivi punde ni kwamba ‘wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) wanajiandaa kuandamana kushinikiza kupewa hela zao za mafunzo kwa vitendo’ mtoa taarifa amesema chuo ilishapokea pesa hizo tangu wiki mbili zilizopita lakini mpaka sasa bado wanafunzi hawapewa KUSAINI pesa hizo. Na ukisoma
Share:

TUHUMA ZA WIZI :MTU NA MKE WAKE WAVULISHWA NGUO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

"WANAMITINDO WA TANZANIA" WATAZAME HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

MAMA AMUUNGUZA MTOTO WAKE WAKUMZAA MDOMO JIJINI DAR ES SALAAM

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Asha (31) ambaye ni mke wa mtu, amejikuta akiachika katika ndoa yake baada ya kudaiwa kumuunguza midomo mwanaye, huko Yombo Buza, jijini Dar, Juni 24 mwaka huu.
Paulina, akiwa na majeraha ya moto midomoni.
Share:

MARCIO MAXIMO:KOCHA WA YANGA AWA HABARI YA MJINI,KILA KONA MAXIMO SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kocha Marcio Maximo.
WAKATI Gazeti la Championi linaanza kuripoti juu ya ujio wa Kocha Marcio Maximo mnamo Mei 24, ambapo pia ndiyo lilikuwa gazeti la kwanza kabisa kuripoti juu ya Mbrazili huyo kuja nchini kuinoa Yanga, ilionekana kama ni ndoto, hatimaye neno limetimia.
Share:

MAHABUSU GEITA WAVUA NGUO KUGOMEA HALA MBAYA GEREZANI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mahabusu Mkoani Geita leo wameamua kuvua nguo,wakidai haki zao,uamuzi huo uliibua tafrani mpaka jeshi la Polisi kuingilia kati.
Share:

WEREMA AFUNGUKA:ADAI NINA WATOTO ALAFU NATUKANWA?,KASHFA YAINGIA SURA MPYA SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                         
TAFRANI iliyojitokeza bungeni juzi kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Frederick Werema kumuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila(NCCR Mageuzi) tumbili, naye kumjibu kwa kumuita mwizi imeingia katika hatua nyingine ambapo wawili hao wamekataa kusuluhishwa. Jana asubuhi baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuahirisha shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan ‘Zungu’, aliwakuta Werema na Kafulila wakiendeleza mzozo nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.
Share:

NECTA YATANGAZA,ALAMA ZA MITIHANI YA MOCK SASA KUTUMIKA KAMA CONTINUOS ASSESMENT

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

MATOKEO ya Mtihani wa Majaribio (Mock) kwa mtihani wa Kidato cha Nne mwaka huu na Kidato cha Sita mwakani, yatachangia alama 10 za Alama Edelevu (CA). Kwa utaratibu huu, matokeo ya mwisho ya mtahiniwa, yatatokana na asilimia 30 ya Alama Endelevu na asilimia 70 ni mchango wa Alama za Mtihani wa Taifa.
Share:

VIDEO:ANGALIA JINSI SUAREZ ALIVYOFANYA TUKIO LA KUMN'GATA MCHEZAJI WA ITALIA UWANJANI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

PENNY, WEMA USO KWA USO-STUDIO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Katika hali isiyotarajiwa, mchumba wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Wema Sepetu na aliyewahi kuwa mchumba wa msanii huyo, Penniel Mungilwa ‘Penny’ walikutana studio na kila mmoja akamkwepa mwenzake.
Share:

NISHA AWAJIBU WANAOMWITA MCHAWI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOYStori: Gladness Mallya
MWANADADA kutoka kiwanda cha Filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amewabwatukia wasanii wenzake wanaomshutumu kwamba anatumia ndumba na kuwataka waache maneno hayo.
Share:

MZEE WA KANISA AKURUPUSHWA GESTI-BAADA YA KUFUMANIWA NA BINTI WA KIZAI KIPYA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Tumekwisha! Mzee wa kanisa la kiroho (jina linahifadhiwa kwa sasa), aliyetajwa kwa jina la Luca Pesa, mkazi wa Segerea, Dar, ameaibika baada ya kukurupushwa kwenye nyumba ya kulala wageni (gesti) akidaiwa kutaka kuvunja amri ya sita na binti ambaye ni msanii chipukizi wa filamu za Kibongo, Debora Jacob, Ijumaa lina kisanga cha aina yake.
Share:

WABUNGE WANUKA RUSHWA-DODOMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
bunge2 c927e

WAKATI muswada wa kupunguza misamaha ya kodi unatarajia kujadiliwa wakati wowote, kuna hofu kwamba baadhi ya wabunge wamehongwa na wafanyabiashara waliopiga kambi mjini hapa ili kuukwamisha.
Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA

1_fbc8c.jpg
Share:

Thursday 26 June 2014

SUAREZ AADHIBIWA MIEZI MINNE na MECHI TISA NJE,BAADA YA KUMN'GATA MCHEZAJI MMWENZAKE


suarez
Habari za hivi punde zinasema kuwa FIFA imemuadhibu Suarez kwa kumfungia mechi tisa
Share:

MAZISHI YA SISTA ALIEUWAWA KWA KUPIGWA RISASI UBUNGO YAFANYIKA ANGALIA PICHA ZOTE HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

USAJILI MAN UNITED:HERRERA ATUA MAN UNITED, AKABIDHIWA JEZI.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

KIUNGO Ander Herrera amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 29 kwenda Manchester United akitokea Athletic Bilbao.
Share:

DOWNLOA WIMBO MPYA WA LINA NA HADIJA- MKE MENZANGU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

DOWNLOAD WIMBO MPYA WA DIAMOND AKIIMBA TAARAB

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD>>
Share:

NGUMI BUNGENI:JAJI WEREMA AMFANANISHA MBUNGE KAFULILA NA TUMBILI TAFRANI YAIBUKA, MAWAZIRI WAINGILIA KATI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbili.
Share:

ANGALIA PICHA YETU YA SIKU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY      MASWAYETU BLOG
Share:

VYUO VIKUU VINAVYOONGOZA KWA UTOAJI WA ELIMU BORA TANZANIA(GRADUATES)

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
http://4.bp.blogspot.com/-obRp0pUhVv4/UAKkTh1KKZI/AAAAAAAAQN8/KncwExHve-M/s1600/udsm.jpg


Kumekuwa na sintofahamu nyingi ni chuo gani kinachoongoza kwa kutoa wanafunzi wenye elimu ambayo ni competent tanzania,utafiti uliofanyika wiki iliyopita umeonyesha kuwa elimu itolewayo chuo kikuu cha dar es salaam bado ipo juu na graduates wake wamekuwa wakifanya makubwa wawapo kazini,Pia  zimetajwa kozi zenye mafanikio chuoni hapo ,Ni pamoja na SHERIA, na Education.


Chuo cha pili kwa ubora wa elimu na chenye kutoa graduate wazuri ni chuo kikuu cha SUA kilichopo mkoani morogoro,pia utafiti umeonyesha kuwa chuo hicho 93% ya kozi zake zimekuwa na soko sana kwenye ajiya baadhi ya kozi zilizoorodheswa ni,Bachelor of veternary medicine(BVM),Bsc.AGRONOMY,Bsc.Irrigation engineering,Bsc.Food science and Technology,Bsc.Agriculture general,Bsc.Animal science.

  Vyuo vingine ni kama vinavyoonekana hapo chini
 1  University of Dar es Salaam . (UD)

 2  Sokoine University of Agriculture (SUA)

 3  Muhimbili University of Health and Allied Sciences (Muhas)

Share:

UKWELI KUHUSU MH.SHUKURU JUMANNE KAWAMBWA KUZUSHIWA KIFO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
index

TAARIFA TOKA BAGAMOYO


Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne Kawambwa kutokana na
Share:

MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA JANA MKOANI GEITA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY




Share:

SCHOLARSHIPS FROM THE GOVERNMENT OF THE DEMOCRATIC PEOPLE’S REPUBLIC OF ALGERIA TENABLE IN ACADEMIC YEAR 2014/2015, [RE - ADVERTISED]

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                         
Applications are invited from qualified Tanzanians to pursue Undergraduate degree programs in Algeria for the year 2014/2015. The medium of instruction is French.

FIELDS OF STUDY
  • Medicine
  • Economic, Management and Commercial Sciences.
  • Mathematics and Computer science
  • State Engineer in Telecommunications
  • Science and Technology (Environmental Engineering)
  • Science and Technology (Architecture)
  • Science and Technology (Hydrocarbons and Chemistry)
  • Science and Technology ( Electronics)
  • Science of Earth and Universe (Hydrogeology)
  • Science of Nature and Life (Food Industry)
  • Science of Nature and Life (Biology and physiology of Organism)
  • Science of Nature and Life (Ecology and Environment)
  • Matter Sciences (Chemistry)
  • Matter Sciences (Physics)
  • French Language
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger