Wednesday 25 June 2014

MWANAFUNZI WA RUAHA UNIVERSITY -IRINGA ACHOMWA MAFUTA YA TAA BAADA YA KUTOKA USIKU KUANGALIA KOMBE LA DUNIA

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
munh_bb1a1.jpg
Polisi mkoani iringa wanawashikilia walinzi 4 amabo wanatuhumiwa kumchoma moto mwanafunzi wa chuo kikuu cha ruaha (25) anaesomea masomo ya sheria.

walinzi wa usalama wanne wnaofanya  kazi Juka security services walisema kuwa wanamtuhumu mwanafunzi huyo kwa kujaribu kuvunja na kuingia 
mini bar iliyopo mjini hapo iringa.
KIjana huyo alikosa kosa kuuliwa baada ya kuunguzwa vibaya na walinzi hao,ila polisi walitokea na kumpatia msaada.

watuhumiwa, ni wakazi  wa Kihesa mjini katika manispaa hiyo, iliripotiwa kuteketezwa mwanafunzi Ijumaa wiki iliyopita kwa kutumia mafuta ya taa.Kwa mujibu wa Polisi Iringa Kamanda (RPC), Ramadhani Mungi, wanne 
 walikamatwa kuhusiana na tukio hilo na juu ya adhabu ya kikatili kufanyika kwa mwanafunzi.

Mwanfunzi huyo amekuwa akiuguza majeraha yake na anaendelea namatibabu katika hospitali ya ruafaa mjini iringa.
Aliwataja watuhumiwa hao kama Mussa Nganga (28), Costa Mgayuka (38), Steven Kalole (24) na Samson Peter (24) wote wakazi wa Kihesa walikamatwa kabla ya kuweza kutoweka maeneo hayo.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger