Friday 31 January 2020

PICHA: Aliyekuwa Katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani balozi Jacob kingu Naye Awasili TAKUKURU Kuhojiwa

Aliyekuwa Katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani ya nchi, balozi Jacob kingu amefika ofisi za Takukuru jijini hapa kwa ajili was mahojiano kufuatia agizo la Rais John Magufuli kuhusu mkataba tata wa Tsh trilioni 1 wa ununuzi wa vifaa vya zimamoto.  


Kingu ametanguliwa na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo Kangi Lugola


Share:

Intern Opportunity at Tegeta Branch NBC

Intern Tegeta Branch NBC NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services. Job Description No role profile available as this role has no assigned corporate grade: This role should not be used to create new positions.… Read More »

The post Intern Opportunity at Tegeta Branch NBC appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Rais Magufuli ateua wenyeviti watatu wa bodi.




Share:

Packaging Engineer at SBL Dar es Salaam

Packaging Engineer SBL Dar es Salaam, Tanzania Job Description : Context/Scope: Serengeti Breweries Ltd (SBL), a subsidiary of East Africa Breweries Ltd (EABL) operates exclusively in Tanzania and is the 2nd largest beer company. The company is an integrated demand/supply business with 3 operational breweries in Dar Es Salaam, Mwanza, and Moshi. SBL’s flagship brand is Serengeti Premium… Read More »

The post Packaging Engineer at SBL Dar es Salaam appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Head of Corporate & Investment Banking at NBC Head Office

Head of Corporate & Investment Banking Head Office NBC NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services. Job Description Commercial/Business Leadership:: Enterprise leadership of a banking product or function; Coordinates activities at a product or functional… Read More »

The post Head of Corporate & Investment Banking at NBC Head Office appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

HR Manager at SICPA Tanzania

HR Manager Req ID: 15868 Posted on: 30-Jan-2020 Location: Dar Es Salaam (TZ10), Tanzania Department: ID-Human Resources & General Administration (50007 Job Family: Human Resources HUMAN RESOURCES MANAGER Fundamental Purpose: Responsible for staffing the needs of SICPA Tanzania, this will involve an active recruitment across Tanzania within short time frame, focus on integration and retention of employees and… Read More »

The post HR Manager at SICPA Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

WHO yatangaza virusi vya corona kuwa hali ya dharura

Shirika la Afya UIimwenguni - WHO limetangaza mlipuko wa virusi vipya vya corona nchini China ambavyo vimesambaa katika nchi nyingine kadhaa kuwa hali ya dharura ya kimataifa. 

Hii ni baada ya visa vya maambukizi ya virusi hivyo kusambaa kwa kasi katika kipindi cha wiki moja, ikiwemo idadi ya vifo vya watu 24 viliyotokea katika saa 24 leo Ijumaa. 

China imeripoti wagonjwa 9,692 waliothibitishwa kuambukizwa huku idadi ya vifo ikifikia 214. Nyingi ya visa hivyo vimeripotiwa katika mkoa wa Hubei na mji mkuu wake Wuhan, ambao ndio kitovu cha mlipuko huo. 

Hakuna vifo vilivyoripotiwa nje ya China. Akizungumza na wanahabari mjini Geneva, Mkurugenzi Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus ametaja hofu iliyopo ya kusambaa kwa virusi hivyo miongoni mwa watu nje ya China.

 Amesema tangazo hilo la hali ya dharura sio la kura ya kutokuwa na imani na China. Badala yake, WHO inaendelea kuwa na imani na uwezo wa China kuudhibiti mripuko huo.


Share:

Spika Ndugai Asema Wanamsubiri Zitto Kabwe awaeleze kwanini aliandika barua kwa benki ya dunia kuzuia mkopo kwa ajili ya elimu nchini

Spika wa Bunge, Job Ndugai Leo Ijumaa Januari 31, 2020 amesema wanamsubiri Mbunge Zitto Kabwe awaeleze kwanini aliandika barua kwa benki ya dunia kuzuia mkopo kwa ajili ya elimu nchini 

Fedha za mkopo huo ambazo ni zaidi ya Sh1.2 Trilioni zingeelekezwa katika programu za shughuli za elimu.

Kikao hicho kilipangwa kufanyika Jumanne Januari 28, 2020  kwa ajili ya kuidhinisha mkopo huo, lakini kikaahirishwa dakika za mwisho kutokana na kile kilichoripotiwa na vyombo vya habari vya nje kuwa ni ombi la taasisi ya kijamii ambayo ina wanachama wake Tanzania.

“Mtu unaweza kuwa na tofauti na sera au mtazamo kati ya wewe mbunge au upande wa Serikali na kadhalika, lakini kufikia mahali pa ‘kublock’ Tanzania isipate fursa fulani nadhani ni kwenda mbali mno.

“Kwa sababu watoto watakaokosa fursa hiyo ni watoto wa Tanzania ni walimu wa Tanzania ni miundombinu ya elimu ya Tanzania, sijui katika hilo kama mbunge unanufaika nini maana kama ni suala la utofauti la kisera haya ni mambo ya kujadiliana tu,” amesema Spika Ndugai.

Katika kusisitiza hilo, Spika Ndugai amesema, “ningependa kutoa ushauri wa ujumla tu kwamba ni vema kutumia fursa yetu kama wawakilishi wa wananchi tukaelimishana tukaelezana kuliko kuwakosesha Watanzania fursa wakati baadhi yetu watoto wetu wapo Feza Boys, wapo Marian Girls halafu unablock msaada kwa watoto walio wengi wa wapiga kura wetu jambo ambalo halifai kabisa.”


Share:

Waziri Mkuu: Serikali Haiwezi Kufuta uchaguzi wote wa Serikali za Mitaa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema licha ya kuwepo kwa ugatuaji wa madaraka (D by D), Serikali za Mitaa bado zina wajibu wa kuwahudumia wananchi kwa sababu ziko karibu nao zaidi kuliko Serikali Kuu.

Ametoa kauli hiyo jana (Alhamisi, Januari 30, 2020) bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la mbunge wa Viti Maalum, Bi. Ruth Mollel, kwenye kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu bungeni. Mbunge huyo alisema dhana ya ugatuaji wa madaraka inakinzana na hali halisi kwani utekelezaji wake haujaenda sawasawa kwa vile Serikali inakusanya fedha kutoka kwenye vyanzo vya mapato vya Halmashauri kama vile kodi ya majengo na mabango.

“Wajibu wa kumhudumia mwananchi ni wa Serikali za Mitaa kwa sababu iko karibu nao zaidi. Mheshimiwa Mbunge atakubaliana nami kuwa tunashirikiana na Serikali za Mitaa kumhudumia mwananchi lakini hatujaondoa wajibu wa Serikali za Mitaa kuwahudumia wananchi,” amesisitiza.

Amesema Serikali Kuu bado inalo jukumu la kusimamia mapato na imeamua kudhibiti ukusanyaji wa mapato na imekuwa ikihakikisha mapato haya yarudi tena kwa wananchi. “Tunaporudisha kwa wananchi, tunawapelekea hao hao Serikali ya Mitaa kwa mahitaji yao ili watekeleze hilo jambo, hatujawaondolea mamlaka ya kusema tunahitaji darasa, tunahitaji kituo cha afya, tunahitaji uboreshaji wa miundombinu.”

“Tumeongeza hata taasisi kwa kuunda TARURA ili isimamie miundombinu; sasa hivi tunaenda kwenye maji, kutakuwa na taasisi ya kusimamia utoaji wa maji. Pale ambapo kuna mahitaji, Mamlaka ya Serikali za Mitaa iseme inahitaji shilingi ngapi, kwa ajili ya nini, nasi tunawapelekea, ndiyo kwa sababu leo tunaona huduma zinatekelezwa mpaka vijijini. Hii ni kwa sababu tunashirikiana na Serikali za Mitaa katika kuratibu.”

“Ule udhaifu wa usimamizi wa makusanyo, na udhaifu wa usimamizi wa matumizi ambao ulikuwa umejitokeza sasa tunaendelea kuutibu na ndiyo kwa sababu unaona wakati wote tunapokwenda huko kwenye ziara, kwanza tunauliza ukusanyaji na kama makusanyo yoyote yamehifadhiwa na matumizi yake yako sawa, na pale ambapo matumizi yanakuwa si sahihi tunachukua hatua,” amesema.

Amesema kutokana na muundo uliopo, zipo Serikali za Mitaa ambazo zina majukumu yake yaliyoainishwa rasmi na kuna Serikali Kuu ambayo pia inawajibika kuzihudumia Serikali za Mitaa.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amesema haitaleta maana endapo Serikali italazimika kutengua matokeo ya uchaguzi wote wa Serikali za Mitaa wakati wagombea ambao hawakuridhishwa na matokeo hayo walikuwa na fursa ya kukata rufaa.

“Chaguzi zote nchini zinatawaliwa na kanuni na sheria zake. Kila mmoja aliyeshiriki kama aliona kuna ukiukwaji wowote, alikuwa na fursa ya kukata rufaa na kama hajaridhika, alikuwa na fursa ya kwenda mahakamani,” alisema.

Alisema chaguzi zote zina sheria zake na kanuni zake na hata wakati wa kuandaa kanuni za Serikali za Mitaa, vyama vyote vya siasa vilishirikishwa katika kutengeneza kanuni zao na moja kati ya kanuni hizo ni pale ambapo inatoa fursa kwa yeyote ambaye hajaridhika huko anakogombea, anaweza kukata rufaa na atakapoona rufaa hiyo kwenye ngazi inayofuata haikutenda haki, aende mahakamani.

“Kwa hiyo kulichukua hili kwa ujumla ujumla, inaweza isiwe sahihi sana kwa sababu kila mmoja kule alipo, alikuwa na mamlaka yake inayoratibu na anayo fursa ya kwenda kwenye mamlaka kukatia rufaa pale ambapo hajaridhika na utekelezaji wa jambo hilo. Na vyama vyote vilishiriki kwenye hii kanuni ya kukata rufaa, kwa hiyo ni wajibu wa huyo mgombea kwenye eneo hilo kwenda kukata rufaa,” alisema.

Alikuwa akijibu swali la mbunge wa Mbozi, Bw. Pascal Haonga, aliyetaka kujua kama Serikali iko tayari kurudia uchaguzi wa Serikali za Mitaa wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu kwa sababu ule uliopita uligubikwa na dosari nyingi.

“Mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2019, uligubikwa na dosari nyingi sana zikiwemo za wagombea kutoka vyama vya upinzani kunyimwa fomu, ofisi kufungwa kwa muda wote, hivyo kupelekea baadhi ya wagombea hasa wa upinzani kushindwa kupata fursa za kugombea. Serikali haioni kwamba ni vema uchaguzi wa Serikali za Mitaa uweze kurudiwa sambamba na uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu?” alihoji.


Share:

Tanzanian Consultant to Manage HIV Data Collection

Tanzanian Consultant to Manage HIV Data Collection Company Overview: Palladium is a global leader in the design, development and delivery of Positive Impact – the intentional creation of enduring social and economic value. We work with foundations, investors, governments, corporations, communities and civil society to formulate strategies and implement solutions that generate lasting social, environmental and financial benefits. … Read More »

The post Tanzanian Consultant to Manage HIV Data Collection appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Madini na Viwanda Vyaleta Mageuzi ya Uchumi Nchini

Na. Immaculate Makilika – MAELEZO
Mauzo ya bidhaa nje ya nchi zisizo kuwa za kawaida yameongezeka kwa asilimia 41.9 kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), mwezi  Novemba, mwaka jana.

Hayo yamesemwa jana Jijini Dodoma  na Mkurugenzi wa Idara ya Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari .

Dkt. Abbasi amesema kuwa kupitia jitihada mbalimbali zinazochagizwa na Rais wa Awamu ya Tano, Dkt. John Pombe Magufuli zimesaidia kuongeza ukusanyaji wa mapato, kuongeza mauzo ya bidhaa muhimu kwenda nje na ukuaji wa viwanda nchini  ikiwa ni sehemu muhimu ya  mageuzi ya uchumi nchini.
 
 “Wote mnafahamu kuwa Serikali imechukua hatua kubwa kuanzisha masoko ya madini na kuzuia uuzaji holela na utoroshaji wa madini. Matokeo yake tumeanza kufaidi. Hadi Novemba, 2019, mauzo ya dhahabu nje ambayo ni asilimia 51.4 ya mauzo yote ya bidhaa nje ya nchi yaani bidhaa zisizo za kawaida, yaliongezeka kwa asilimia 41.9 kufikia kiasi cha Dola Bilioni 2.1”, alisema Dkt. Abbasi
 
Aidha, aliongeza kuwa  “sera ya kuchagiza ujenzi wa viwanda nayo imezidi kulipa, ambapo  mauzo ya bidhaa za viwandani nje ya nchi  yameongezeka kwa asilimia 28.4 kufikia Dola milioni 996.0 ikichangiwa zaidi na bidhaa za chuma na mabati, vioo, tumbaku, katani na mbolea. 
 
Jitihada hizo za Serikali zimeendelea kusaidia kuongeza ajira kwa watanzania, sambamba na kuwa vyanzo vipya vya mapato huku vikitazamiwa kusaida uboreshaji wa huduma za kijamii.
 
Mwisho


Share:

Serikali Yasema Mkopo wa Benki ya Dunia wa Dola za Marekani Milioni 500 kwa nchi ya Tanzania haujasitishwa bali majadiliano yanaendelea.

Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Dk Hassan Abbasi amewatoa hofu Watanzania kuhusu madai kuwa Benki ya Dunia (WB) imesitisha kutoa mkopo wa masharti nafuu wa Dola 500 milioni za Kimarekani kwa Tanzania, akibainisha kuwa bado wapo kwenye mazungumzo.

Ameeleza hayo jana Alhamisi Januari 30, 2020 katika mkutano na waandishi wa habari mjini Dodoma.

Dk Abbasi ameeleza hayo baada ya kikao cha bodi ya utendaji ya Benki ya Dunia ambacho kingetoa uamuzi kuhusu kuruhusu mkopo huo kuripotiwa kuahirishwa.
 
Kikao hicho kilipangwa kufanyika Jumanne Januari 28, 2020  kwa ajili ya kuidhinisha mkopo huo, lakini kikaahirishwa dakika za mwisho kutokana na kile kilichoripotiwa na vyombo vya habari vya nje kuwa ni ombi la taasisi ya kijamii ambayo ina wanachama wake Tanzania.

Kabla ya kuahirishwa kwa kikao hicho, mkurugenzi anayehusika na haki za watoto wa taasisi ya kimataifa inayojishughulisha na haki za binadamu ya Human Rights Watch (HRW), Zama Neff aliiomba WB kuchelewesha fedha hizo hadi suala la wasichana wanaopata mimba shuleni litakapopatiwa ufumbuzi kuhusu mustakabali wa elimu yao.

Katika maelezo yake , Dk Abbasi amesema, “walipanga kukutana siku fulani, mmoja wa wawakilishi wao aliomba wakutane leo,  mtu anatoka hapo mishipa imekutoka eti mkopo umesitishwa,sio kweli.... kukopa unaweza kuomba benki moja ukakosa nyingine ikakubali kwa hiyo ni majadiliano yanaendelea.”

==>>Msikilize hapo chini


Share:

Uchumi wa Tanzania Wazidi Kukua na Kuimarika

Na Immaculate Makilika - MAELEZO
Hali ya uchumi wa Tanzania imezidi kuimarika na kukua  kwa asilimia 6.9 ikiwa ni  takwimu za hadi mwezi Septemba 2019, huku lengo likiwa ni kufikia asilimia 7.0% na 7.1% .

Taarifa iliyotolewa na Shirika la Fedha Duniani (IMF) Januari 20 mwaka huu, inaonesha  kuwa uchumi wa dunia utakua kidogo kutoka asilimia 2.9 hadi asilimia 3.3 kwa nusu ya kwanza ya mwaka 2019/20.

Akizungumza na waandishi wa habari, jana jijini Dodoma, kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Serikali, Mkurugenzi wa Idara ya Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi alisema kuwa, huu ni ukuaji mkubwa katika nchi za Afrika Mashariki nyuma ya Rwanda pekee na bado Tanzania ni miongoni mwa nchi za juu kwenye ukanda wa  Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na Afrika kwa ujumla.

Dkt. Abbasi alisema kuwa sekta inayoongoza kwa ukuaji wa uchumi ni ujenzi ambayo inachangia asilimia 16, uchimbaji madini na mawe asilimia 13.7, habari na mawasiliano 10.7, maji asilimia 9.1, na usafirishaji na uhifadhi wa mizigo asilimia 9.1.

Aidha, Dkt. Abbasi alisema kuwa, katika kipindi cha miaka mitatu Serikali ya Awamu ya Tano imefanikiwa katika ongezeko la ukusanyaji wa mapato kwa mwezi kutoka shilingi bilioni 850 mwaka 2015 hadi kufikia shilingi trilioni 1.3.

“Leo ninayo furaha kulitangazia rasmi taifa kuwa kutokana na juhudi kubwa zilizofanywa na Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato na Idara nyingine za Serikali, wastani wa mapato ya kodi kwa mwezi kati ya Julai hadi Disemba, mwaka 2019, umepanda na sasa ni shilingi trilioni 1.5 kwa mwezi. Hii kwa sasa ndio rekodi mpya, na ndio habari mpya ya mjini”, alisisitiza Dkt. Abbasi.

Ukusanyaji wa mapato ni moja ya vipaumbele muhimu vya Serikali ya Awamu ya Tano. Huku ikitazamia kujenga uwezo wa ndani wa kujitegemea kifedha na kupunguza kwa kadri inavyowezekana utegemezi kutoka kwa Wadau wa Maendeleo na kuhakikisha kwamba mipango ya kukuza uchumi na kupunguza umaskini inatekelezwa bila kukwama kwa sababu ya ukosefu wa fedha.

 Aidha, azma ya Serikali ya kuifanya Tanzania nchi ya uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025, haiwezi kufikiwa endapo Serikali haitokuwa na uwezo wa kifedha wa kugharamia shughuli mbali mbali za maendeleo.


Share:

IT Support Associate Job Opportunity at Sokowatch

IT Support Associate About Us: Sokowatch is transforming communities across Africa by revolutionizing access to essential goods and services. By connecting small shops to the digital economy, we fix inefficient supply chains and provide services that were previously unavailable. Sokowatch aims to provide everything a retailer needs, no wholesalers or banks necessary. Reporting To: Support Manager Location: Dar… Read More »

The post IT Support Associate Job Opportunity at Sokowatch appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Rugemalira Afunguka Mazito Mahakamani

Mfanyabiashara  James Rugemalira, amedai mahakamani kwamba ameandika barua kwenda kwa Kamishna  Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kumwelezea  namna benki ya Standard Chartered Hong Kong ilivyokuwa ikikwepa kodi na ushuru wa forodha. 

Mshtakiwa huyo na wenzake wawili wanakabiliwa na tuhuma za uhujumu uchumi ikiwamo kutakatisha fedha.

Rugemalira alitoa hoja hiyo jana Mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi, wakati kesi hiyo ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa.

Alitoa madai hayo baada ya Mwendesha Mashtaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Maghela Ndimbo, kudai kuwa kesi ilipangwa kwa ajili ya kutajwa na upelelezi wake bado haujakamilika.

Rugemalira aliomba ruhusa ya kuzungumza na aliporuhusiwa alidai kuwa Januari 24, mwaka huu, alizungumza na mwakilishi wa Takukuru alipotembelea mahabusu na akamkabidhi nakala ya barua hiyo aliyoandika kwenda kwa Kamishna Mkuu wa TRA lakini mpaka sasa hajapata majibu yake.

"Mheshimiwa Hakimu, naomba mahakama yako itakapopanga tarehe nyingine ya kutajwa, upande wa Jamhuri walete majibu kwa sababu wanaostahili kushtakiwa katika kesi hii ni benki hiyo lakini nashangaa kuona wengine wanaunganishwa kwa madai upelelezi haujakamilika.

"Mheshimiwa Hakimu upelelezi wa kesi hii hautakamilika. Kama kweli wanataka ukamilike, wafuatilie hiyo barua aliyowapelekea TRA,” alidai Rugemalira.

Baada ya maelezo hayo, Hakimu Shaidi alisema kesi hiyo itatajwa Februari 13, mwaka huu, na washtakiwa wataendelea kukaa mahabusu.

Mbali na Rugemalira, washtakiwa wengine ni Harbinder Sethi na Joseph Makandege.

Katika kesi ya msingi ya uhujumu uchumi namba 27/2017, Makandege anakabiliwa na mashtaka matano likiwamo la kuisababishia serikali hasara ya dola za Marekani 980,000 pamoja na utakatishaji wa Fedha.

Kwa upande wa Sethi na Rugemalira, walifikishwa mahakamani hapo zaidi ya miaka miwili na wamekaa rumande, kutokana na upelelezi wa kesi yao kutokukamilika.

Washitakiwa hao kwa pamoja wanakabiliwa na mashitaka 12 yakiwamo ya utakatishaji fedha na kusababisha hasara ya Dola za Marekani 22,198,544.60 na Sh 309,461,300,158.27, kwa mara ya kwanza walifikishwa mahakamani hapo Juni 19, 2017.


Share:

LIVE BUNGENI : Mkutano Wa Kumi Na Nane - Kikao Cha Nne: Tarehe 31 Januari, 2020

LIVE BUNGENI : Mkutano Wa Kumi Na Nane - Kikao Cha Nne: Tarehe 31 Januari, 2020


Share:

Monitoring Evaluation and Learning Intern requred at Policy Forum,

Position: Monitoring Evaluation and Learning Intern Policy Forum is incorporated as a Non-Governmental Organizations with registration No. NGO/R2/00015. The Policy Forum (PF) is a network of more than 76 Tanzanian civil society organizations drawn together by their specific interest in enhanced public money accountability at both the central and local levels by improving civil society capabilities and opportunities… Read More »

The post Monitoring Evaluation and Learning Intern requred at Policy Forum, appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Majibu ya serikali kuhusu dhamana kwa Wanaotuhumiwa kwa Makosa ya Uhujumu Uchumi

Serikali imesema kuwa endapo mbunge ataona kuwa kuna haja ya kubadilishwa sheria ya makosa ya uhujumu uchumi ili watuhumiwa wa makosa hayo yawe na dhamana awasilishe hoja yake bungeni kwani Bunge ndiyo chombo chenye mamlaka ya kutunga na kubadili sheria.

Hayo yamesemwa jana bungeni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandishi Hamad Masauni wakati wa kipindi cha maswali na majibu katika kikao cha pili cha mkutano wa 18 wa Bunge la 11 alipokuwa akijibu swali lililoulizwa na Mbunge wa Viti Maalum, Sabreena Hamza Sungura.

Katika swali lake mbunge huyo aliuliza, “Kutokana na msongamano wa mahabusu na wafungwa magerezani, Je! Serikali haioni ni muda muafaka sasa wa kubadili sheria hiyo ili majaji waweze kutoa dhamana kwa watuhumiwa, kwani kwa hali ilivyo sasa hata mtu anayetuhumiwa kuhujumu Tsh 20,000 ananyimwa dhamana?

“Ni mamlaka ya Bunge hili kutunga sheria na kubadilisha pale unapoona inafaa, na yeye ni mbunge wa Bunge hili na kanuni anazifahamu. Kama anaona kuna utaratibu unaofaa (kubadili sheria), ni haki ya mbunge kutumia haki yake ya kikanuni,” ameeleza Masauni.

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania kwa sasa, mtu akishtakiwa kwa kosa la uhujumu uchumi, mahakama haina mamlaka ya kumpa dhamana, na kwamba atakaa rumande hadi hapo hukumu ya kesi itakapotolewa ama aachiwe huru au apewe adhabu.


Share:

PICHA: Kangi Lugola Alivyowasili TAKUKURU Kwa Ajili ya Kuhojiwa

Mbunge wa Mwibara na Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewasili makao makuu ya ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) jijini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa.



Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa January 31




Share:

Research, Monitoring and Evaluation Coordinator at VSO Dar es Salaam

Research, Monitoring and Evaluation coordinator Location: Dar Es Salaam, Tanzania Salary: Competitive Contract type: Permanent Contract length: Open Application Closing Date: 11 Feb 2020 VSO is the world’s leading independent international development organisation that works through volunteers to fight poverty in developing countries. Our high-impact approach brings people together to share skills, build capabilities, promote international understanding and… Read More »

The post Research, Monitoring and Evaluation Coordinator at VSO Dar es Salaam appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Technicians (2 positions) Job at Sahel Trading Co. Ltd

Overview Sahel Trading Co. Ltd registered under section 15 of the companies ordinance 1984 (ACT 2002) invites Applicants for the following position: POSITION: Technicians (2 positions) Bachelor Degree/ Diploma in Electrical Engineering Additional Qualification related to Technician will be preferred Three Years’ Experience in Digital Weighing Systems and Industrial Automation MODE OF APPLICATION: Application along with Curriculum Vitae… Read More »

The post Technicians (2 positions) Job at Sahel Trading Co. Ltd appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Director & National Research Co-ordinator Morogoro

Our Vision A fair water future for all in Tanzania where water is managed in a fair, efficient and sustainable way to support communities, business and ecosystems. Our Mission To work in partnership to advocate for water security and governance for communities, business and ecosystems thereby making an important contribution to achieving the Sustainable water security of Tanzanians.… Read More »

The post Director & National Research Co-ordinator Morogoro appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Thursday 30 January 2020

Maalim Seif Ajitosa Kugombea Uenyekiti wa ACT-Wazalendo

Mshauri Mkuu wa Chama cha siasa nchini Tanzania cha ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa wa chama hicho.

Maalim Seif amechukua fomu hiyo leo Alhamisi Januari 30, 2020 ofisi ndogo ya chama hicho Vuga Mjini Unguja na kukabidhiwa na Kaimu Katibu Mkuu wa ACT- Wazalendo, Doroth Semu.

Baada ya kupewa fomu, Maalim Seif amesema sababu kuu ya kuwania nafasi hiyo inatokana na uwezo wake pamoja na uzoefu alionao wa kisiasa kwa zaidi ya miaka 25 hivi sasa.

Amesema kupitia uzoefu huo ana amini nafasi ya uenyekiti taifa ataweza kuihudumia kwa lengo la kuleta mabadiliko makubwa ndani ya Chama hicho, ambacho hivi sasa kinapanga safu zake za uongozi kwa mujibu wa katiba.


Share:

Senior Insurance Officer at Air Tanzania Company Limited (ATCL)

Senior Insurance Officer  Air Tanzania Company Limited (ATCL) is in the process of revamping its operations and has introduced new equipment to its fleet as part of implementation of its five years Corporate Strategic Plan (2017-2021). In line with this expansion, the company is also making some reforms in its structure, internal operations and staffing to accommodate business… Read More »

The post Senior Insurance Officer at Air Tanzania Company Limited (ATCL) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Aircraft Engineers at Air Tanzania Company Limited (ATCL)

Aircraft Engineers  (4 Posts) Air Tanzania Company Limited (ATCL) is in the process of revamping its operations and has introduced new equipment to its fleet as part of implementation of its five years Corporate Strategic Plan (2017-2021). In line with this expansion, the company is also making some reforms in its structure, internal operations and staffing to accommodate… Read More »

The post Aircraft Engineers at Air Tanzania Company Limited (ATCL) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Ujumbe wa Kwanza wa Mke wa Kobe Bryant Tangu Afiwe na Mume wakena Mwanae

Vanessa Bryant ambae ni Mke wa Legend wa Basketball Marehemu Kobe Bryant, ameandika kwenye Instagram kwa mara ya kwanza toka kifo cha Mumewe, Mtoto wake na Watu wengine kwenye ajali ya Helikopta Jumapili iliyopita.

“Mimi na Watoto wangu wa kike tunashukuru mamilioni ya Watu walioonesha support na upendo kwenye kipindi hiki kigumu, asanteni kwa maombi hakika tunayahitaji

“Maneno hayatoshi kuelezea maumivu tuliyonayo sasa hivi, tumeumizwa na kifo cha Kobe na Gigi, walikua baraka sana kwetu wamechukuliwa mapema, tumeumizwa na vifo vya wengine pia waliokua pamoja”

“Kwa heshima ya Familia ya Mamba Family, Mamba Sports Foundation imeandaa mfuko wa kuchangia fedha kuzi-support familia nyingine zilizoathirika na msiba huu, kuchangia tafadhali nenda mambaonthree.org”

==>>Ujumbe wa Vanessa;“My girls and I want to thank the millions of people who’ve shown support and love during this horrific time. Thank you for all the prayers. We definitely need them. We are completely devastated by the sudden loss of my adoring husband, Kobe — the amazing father of our children; and my beautiful, sweet Gianna — a loving, thoughtful, and wonderful daughter, and amazing sister to Natalia, Bianka, and Capri.
    We are also devastated for the families who lost their loved ones on Sunday, and we share in their grief intimately.
    There aren’t enough words to describe our pain right now. I take comfort in knowing that Kobe and Gigi both knew that they were so deeply loved. We were so incredibly blessed to have them in our lives. I wish they were here with us forever. They were our beautiful blessings taken from us too soon.
    I’m not sure what our lives hold beyond today, and it’s impossible to imagine life without them. But we wake up each day, trying to keep pushing because Kobe, and our baby girl, Gigi, are shining on us to light the way. Our love for them is endless — and that’s to say, immeasurable. I just wish I could hug them, kiss them and bless them. Have them here with us, forever.
    Thank you for sharing your joy, your grief and your support with us. We ask that you grant us the respect and privacy we will need to navigate this new reality.
    To honor our Team Mamba family, the Mamba Sports Foundation has set up the MambaOnThree Fund to help support the other families affected by this tragedy. To donate, please go to MambaOnThree.org.
    To further Kobe and Gianna’s legacy in youth sports, please visit MambaSportsFoundation.org.

    Thank you so much for lifting us up in your prayers, and for loving Kobe, Gigi, Natalia, Bianka, Capri and me. #Mamba #Mambacita #GirlsDad #DaddysGirls #Family ❤️”


Share:

Waziri Mkuu Atoa Ufafanuzi Changamoto za NIDA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali imeongeza watumishi wa NIDA pamoja na vifaa ili kuondoa changamoto kwa Watanzania za kupata vitambulisho vya uraia.

Amesema hayo leo Alhamisi  akiwa katika kipindi cha Maswali na majibu kwa Waziri Mkuu Bungeni.

“Watanzania wengi tulikuwa hatujawafikia kuwapa vitambulisho vya NIDA mpaka ngazi ya vijiji na kule vitongojini, jambo hili Serikali imelifanyia kazi kwanza tumeongeza idadi ya watumishi kwenye ngazi ya Halmashauri, pili tumeongeza mitambo ya kufanyia kazi.
 
“Yako maeneo tumeongeza umakini mkubwa hasa maeneo ya mipakani kwa lengo la kuzuia wananchi wa Nchi jirani kujipatia kitambulisho cha NIDA nchini Tanzania halafu akafanya mambo yake huku ndani kupitia kitambulisho cha nchi kwa hiyo mtaona kunaweza kuwa na uchelewashwaji huko kwenye miji iliyoko mipakani na nchi jirani na Tanzania kwa sababu tunafanya zoezi ili kwa umakini kwa lengo la kutoa kitambulisho kwa mtanzania tu” - Amesema Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa


Share:

Kangi Lugola Kuhojiwa na TAKUKURU Kesho

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola anatarajiwa kuhojiwa kesho na Taasisi ya Kuzuia Na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo, Brigedia Jenerali, John Mbungo amesema walianza kukusanya taarifa za awali ambazo zimeshakamilika na wahusika wote wataitwa kesho kuhojiwa.

Rais Dkt John Magufuli alitengua uwaziri wa Lugola kutokana na tuhuma za utiaji saini makubaliano ya zabuni ya kununua vifaa vya Zimamoto na Uokoaji vyenye thamani ya Euro Mil. 408.2 kutoka kampuni moja ya nje ya nchi.


Share:

Senior Accountants at Air Tanzania Company Limited (ATCL) ( 4 posts)

Senior Accountants (4 Posts) Air Tanzania Company Limited (ATCL) is in the process of revamping its operations and has introduced new equipment to its fleet as part of implementation of its five years Corporate Strategic Plan (2017-2021). In line with this expansion, the company is also making some reforms in its structure, internal operations and staffing to accommodate business… Read More »

The post Senior Accountants at Air Tanzania Company Limited (ATCL) ( 4 posts) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Business Development Officer at World Vision

Business Development Officer Purpose of the position: Under the direction of the Business Development Manager, the Business development Officer will support the efforts of World Vision Tanzania to develop and diversify its sources of funding, including local resource mobilization. Program Development and Resource Acquisition Working with Business Development Manager, SMT and Technical Leads identify funding opportunities from Support… Read More »

The post Business Development Officer at World Vision appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

MFANYABIASHARA KIZIMBANI KWA MASHITAKA 28 YA UHUJUMU UCHUMI


Mkurugenzi wa kampuni ya Jaluma General Supplies Limited,  Lucas Mallya  na wenzake wanane wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 28 yakiwemo ya  kukwepa kodi na kuisababishia Serikali  hasara ya zaidi ya Sh31.57 bilioni.

Mbali na Mallya washtakiwa wengine ni Emmanuel Peter,  mkurugenzi wa Happy Imports Assosiates, Happy Mwamugunda; Prochesi Shayo; Prokolini  Shayo;  Godfrey Urio;  Nyasulu Nkyapi; Tunsubilege Mateni na Nelson Kahangwa

Akisoma mashtaka hayo jana Jumatano Januari 29, 2020 mbele ya Hakimu mfawidhi, Godfrey Isaya wakili wa Serikali, Faraja Ngukah alidai washtakiwa walitenda makosa hayo kati ya Januari Mosi, 2015 na Januari 7, 2020 maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam.

Washitakiwa hao hawakutakiwa kujibu chochote kwa sababu mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi za uhujumu uchumi.

Hata hivyo, upande wa mashtaka ulidai upelelezi wa kesi hiyo unaendelea hivyo, waliomba tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa na kukamilisha upelelezi.

Hakimu Isaya aliahirisha kesi hiyo hadi Fabruari 12, 2020 kwa ajili ya kutajwa na washtakiwa walipelekwa rumande kwa sababu mashtaka ya utakatishaji fedha hayana dhamana kisheria.


Share:

SHIRIKA LA AFYA ULIMWENGUNI, WHO LAITISHA KIKAO CHA DHARURA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA

Shirika la afya ulimwenguni, WHO kwa mara nyingine linataraji kuitisha kikao cha kamati yake ya wataalamu baadae hii leo ili kujadiliana kuhusu iwapo wanaweza kutangaza mripuko wa virusi vya Corona kama dharura ya afya duniani.


Virusi hivyo tayari vimeshawaua watu zaidi ya 160 na zaidi ya watu 7, 711 wameambukizwa tangu kulipotambuliwa mgonjwa wa kwanza katika jiji la Wuhan nchini China, Disemba 31.

Mkurugenzi mkuu wa WHO, Tedros Adhanom Gebreyesus, aliyerejea kutoka China amesema ilikuwa ni muhimu kuitisha mkutano mwingine, ambao ni wa tatu kwa wiki hii kwa kuwa virusi hivyo vimekwishasambaa hadi nje ya China, akisema ni hali inayozidi kutia wasiwasi.

 Nchi wanachama wa timu hiyo ya WHO iliamua wiki iliyopita kwamba janga hilo lilikuwa bado halijafikia kiwango cha kutangazwa dharura ya dunia. 

Hatua kama hiyo ilitangazwa na WHO wakati wa mripuko wa Ebola na mafua ya ndege.


Share:

Field Monitor at World Vision

Field Monitor Purpose of the position: To monitor the delivery, distribution, documentation and reporting associated with all commodities supported to refugees. Work hand in hand with relief committee members Observe mission and core values of World Vision and demonstrate a quality of spiritual life that is an example to others Major Responsibilities: Commodity management Ensure that all commodities… Read More »

The post Field Monitor at World Vision appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Community Help Desk at World Vision

Community Help Desk   Receiving, recording/documenting and responding to all complaints channeled via help desk Engage into daily pre-address speech Make a link between beneficiaries and Distribution staff. Record all complaints and feedback received related to World Vision programs, commitments or conduct, this can include Food, GBV, security, Peace building & Child protection related issues. Ensuring that, all complaints… Read More »

The post Community Help Desk at World Vision appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Administrative Assistant at World Vision

Administrative Assistant  Other Competencies/Attributes: Must be a committed Christian, able to stand above denominational diversities. Perform other People & Culture duties as required. Qualifications: Education/Knowledge/Technical Skills and Experience The following may be acquired through a combination of formal or self-education, prior experience or on-the-job training: Minimum Qualification required: Bachelor Degree in Human Resources, Public Administration or related field. Experience: 2 year… Read More »

The post Administrative Assistant at World Vision appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

BUNGE LA ULAYA LAPIGA KURA KURUHUSU UINGEREZA KUONDOKA EU


Wabunge wa bunge la Umoja wa Ulaya wamepitisha kwa wingi sheria inayoruhusu Uingereza kuondoka kwenye Umoja huo ama Brexit, wiki hii na kuondoa kizingiti kikubwa cha mwisho kabla Brexit yenyewe kufanyika. 

Bunge hilo limepiga kura ya kuyapitisha makubaliano ya Brexit kwa kura 621 dhidi ya 49 ambao walipinga. 

Kulitakiwa wingi mdogo wa kura kwenye bunge hilo lenye wabunge 75. 

Nchi wanachama hivi sasa wanatakiwa kutoa idhini ya mwisho kwenye makubaliano hayo kupitia utaratibu wa maandishi. 

Uingereza inataraji kuondoka Umoja wa Ulaya usiku wa kuamkia Ijumaa, baada ya miaka mitatu tangu Waingereza walipoanzisha mchakato wa kuondoka ama kusalia kwenye Umoja huo, katika kura ya maoni ya mwaka 2016.


Share:

Information,Communication & Technology Officer at World Vision

Information,Communication & Technology Officer   Purpose of the position: To ensure effective and efficient implementation of all network/ system applications and hardware maintenance for smooth running of ICT operations Communicate World Vision’s Christian ethos and demonstrate a quality of spiritual life that is an example to others. Maintain ICT infrastructure in line with partnership guidelines within the office Facilitate… Read More »

The post Information,Communication & Technology Officer at World Vision appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Nutrition Offic at World Vision

Nutrition Officer   Purpose of the position To facilitate effective implementation of Burundian Refugee Supplementary Program targeting children under five, Pregnant and Lactating Women (PWL) and vulnerable groups; the project aims to stabilize and improve the nutritional status of Nduta and Mtendeli refugee Camps Ensure that district health management team, DNuOs, health care providers and community volunteers trained on… Read More »

The post Nutrition Offic at World Vision appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Head, Priority Banking at Standard Chartered

Head, Priority Banking Job: Retail Banking Primary Location: Africa & Middle East-Tanzania-Dar es Salaam Schedule: Full-time Employee Status: Permanent Posting Date: 29/Jan/2020 Unposting Date: 13/Feb/2020 About Standard Chartered  We are a leading international bank focused on helping people and companies prosper across Asia, Africa and the Middle East. To us, good performance is about much more than turning a… Read More »

The post Head, Priority Banking at Standard Chartered appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

MAALIM SEIF KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA NAFASI YA UONGOZI KATIKA CHAMA CHA ACT- WAZALENDO

Kama inavyofahamika, Chama cha ACT Wazalendo tayari kimetangaza rasmi kuanza kwa Uchaguzi wa Viongozi wa Kitaifa ndani ya Chama baada ya kukamilika chaguzi katika ngazi za chini. 


Shughuli ya kuchukua na kurejesha fomu kwa nafasi mbali mbali za uongozi katika ngazi ya Taifa imetangazwa kufanyika kuanzia tarehe 27 Januari hadi 26 Februari, 2020.

Kwa taarifa hii, tunawajulisha kuwa leo siku ya Alkhamis, tarehe 30/01/2020 saa 5.00 asubuhi Maalim Seif Sharif Hamad anatarajia kuchukua fomu ya kugombea nafasi mojawapo kati ya nafasi za uongozi zilizotangazwa kugombewa katika Chama Cha ACT Wazalendo. Shughuli hiyo itafanyika Ofisi Ndogo ya Chama iliyopo Vuga, Zanzibar.

Kwa taarifa hii, ndugu waandishi wa habari mnaalikwa rasmi kushuhudia tukio hilo la uchukuaji wa fomu.

 Maalim Seif pia anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari kuhusu dira na mwelekeo wake juu ya nafasi ya uongozi anayokusudia kuiomba katika Chama.

Nyote mnakaribishwa.

Imetolewa na;
Ofisi ya Maalim Seif Sharif Hamad
30/01/2020


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger