Sunday, 22 February 2026

Picha : KATAMBI AFANYA MKUTANO MKUBWA KUWASHUKURU WANANCHI SHINYANGA MJINI, ASISITIZA AMANI


Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi, akihutubia wananchi wa Shinyanga katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kwa imani yao ya kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan na madiwani wa CCM. - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Mabala Mlolwa kwenye mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kwa imani yao ya kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan na madiwani wa CCM.

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Mbunge wa Jimbo la Shinyanga na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi, amefanya mkutano mkubwa wa hadhara kuwashukuru wananchi kwa imani kubwa waliyoionesha katika Uchaguzi Mkuu kwa kumchagua kuwa Mbunge wa Jimbo la Shinyanga, kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na kuwachagua madiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mkutano huo wa kihistoria umefanyika leo, Jumapili Februari 22, 2026, katika viwanja vya Zimamoto Mjini Shinyanga, ukihudhuriwa na maelfu ya wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Shinyanga, jambo lililoakisi mshikamano mkubwa wa wananchi na imani yao kwa uongozi wa CCM.

Akizungumza mbele ya umati huo, Mhe. Katambi ameeleza shukrani zake za dhati kwa wananchi wa Shinyanga kwa kuendelea kuiamini CCM na Serikali yake, akisisitiza kuwa ushindi huo si wa mtu mmoja bali ni ushindi wa wananchi wote wanaotamani maendeleo, ustawi na amani ya taifa.

Aidha, ameahidi kuendelea kutekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo kwa kusimamia miradi ya maendeleo katika sekta za miundombinu, maji, afya, elimu na ajira kwa vijana, huku akieleza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuleta mageuzi makubwa ya kiuchumi na kijamii yanayogusa maisha ya wananchi moja kwa moja.

Katika kusisitiza suala la amani, Mhe. Katambi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, amewahimiza wananchi kuendelea kulinda na kudumisha amani, umoja na utulivu wa nchi, akieleza kuwa bila amani hakuna maendeleo. 

Amebainisha kuwa Serikali itaendelea kuimarisha usalama wa raia na mali zao ili kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji na ukuaji wa uchumi.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Mabala Mlolwa kwenye mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kwa imani yao ya kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan na madiwani wa CCM. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog 

Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi, akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano mkubwa wa hadhara Mjini Shinyanga, akitoa shukrani kwa imani waliyoionesha katika Uchaguzi Mkuu kwa kumchagua kuwa Mbunge, kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na kuwachagua madiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).  
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi, akihutubia wananchi wa Shinyanga katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kwa imani yao ya kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan na madiwani wa CCM.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi, akihutubia wananchi wa Shinyanga katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kwa imani yao ya kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan na madiwani wa CCM.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi, akihutubia wananchi wa Shinyanga katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kwa imani yao ya kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan na madiwani wa CCM.

Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi, akihutubia wananchi wa Shinyanga katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kwa imani yao ya kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan na madiwani wa CCM.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi, akihutubia wananchi wa Shinyanga katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kwa imani yao ya kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan na madiwani wa CCM.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi, akihutubia wananchi wa Shinyanga katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kwa imani yao ya kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan na madiwani wa CCM.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi, akihutubia wananchi wa Shinyanga katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kwa imani yao ya kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan na madiwani wa CCM.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi, akihutubia wananchi wa Shinyanga katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kwa imani yao ya kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan na madiwani wa CCM.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi, akihutubia wananchi wa Shinyanga katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kwa imani yao ya kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan na madiwani wa CCM.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi, akihutubia wananchi wa Shinyanga katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kwa imani yao ya kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan na madiwani wa CCM.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Patrobas Katambi, akihutubia wananchi wa Shinyanga katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kwa imani yao ya kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan na madiwani wa CCM.





Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger