Thursday, 12 February 2026

KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA TARURA KWA KUIMARISHA BARABARA, KUOKOA MAISHA YA WANANCHI


Na OWM - TAMISEMI, Dodoma

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Mhe. Selemani Kakoso ameipongeza Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kujenga miundombinu ya barabara iliyookoa maisha ya wananchi katika maeneo mbalimbali ambayo awali kuharibika kwa miundombinu hiyo kulisababisha vifo vya wananchi.


Mhe. Kakoso amesema hayo leo Februari 11, 2026 wakati wa kikao cha mafunzo kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, yaliyohusu uboreshaji wa Mtandao wa Barabara za Wilaya, Mikakati, Changamoto na Fursa kwa Maendeleo ya Taifa yaliyofanyika katika Ukumbi wa Anne Makinda Bungeni Jijini Dodoma.

Mhe. Kakoso amesema kuwa, katika jimbo lake kuna eneo ambalo TARURA imejenga daraja ambapo kila mwaka wananchi walikuwa wakipoteza maisha kutokana na kukosekana kwa daraja la uhakika, lakini tangu daraja hilo lijengwe hakuna taarifa za vifo tena.

“Katika Jimbo langu kuna sehemu ambayo toka nchi ipate uhuru haijawahi kuwa na barabara lakini TARURA imejenga barabara katika eneo hilo na sasa wananchi wananufaika nayo,” ameeleza Mhe. Kakoso.

Naye, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Florent Kyombo amesema licha ya Serikali kufanya vizuri katika ujenzi wa miundombinu ya barabara katika majiji, ameishauri TARURA kufanya mgao mzuri wa rasilimali fedha ili na maeneo mengine yenye uhitaji yanufaike na ujenzi wa miundombinu hiyo ya barabara.

Kwa upande wake, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewahakikishia wajumbe wa kamati hizo kuwa, maoni yote yaliyowasilishwa na wajumbe wa kamati hizo yamepokelewa na yatafanyiwa kazi na wataalam ili kuongeza ufanisi katika ujenzi wa miundombinu ya barabara na hatimaye wananchi kunufaika na miundombinu hiyo.

Katika kukabiliana na majanga, Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff amesema kupitia dirisha la majanga (Crisis Management Window) Tanzania imeidhinishiwa mkopo wa nyongeza wa Dola za Kimarekani Milioni 100 kwa ajili ya kurejesha miundombinu iliyoharibiwa na mvua za elnino na kimbunga hidaya cha mwaka 2024, ambapo Dola Milioni 30 ni kwa ajili ya barabara za wilaya na Dola Milioni 70 ni kwa ajili ya barabara za kitaifa.
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI FEBRUARI 12,2026


Magazeti





















Share:

Wednesday, 11 February 2026

SportPesa’s Aviator New Limits Attract Millions in Tanzania

 


Tanzania’s entertainment landscape is witnessing a seismic shift! SportPesa, the nation’s leading sports betting and gaming operator, has decisively transformed its wildly popular Aviator game, unleashing groundbreaking betting limits designed to empower players and solidify its market dominance. This bold initiative promises an unparalleled gaming adventure, delivering extraordinary excitement and the potential for life-changing wins to millions across the country, firmly placing SportPesa at the core of online Aviator and online casino in Tanzania.

In an era where dynamic digital entertainment constantly captivates audiences, SportPesa consistently pioneers innovation, demonstrating an acute understanding of the Tanzanian market’s desires. The Aviator game, a thrilling digital ascent where players predict a plane’s flight path to multiply their stakes, has already captured the collective imagination of countless enthusiasts. Now, with a comprehensive and strategically brilliant enhancement of its gaming parameters, SportPesa aviator isn’t merely offering a game; it’s presenting an unparalleled opportunity for monumental wins and an experience meticulously tailored to every kind of player. 

This decision is poised to resonate deeply with both casual participants taking their initial flutter and seasoned high rollers pursuing colossal returns, establishing a new gold standard for online gaming and guaranteeing prominent coverage in Tanzania. This isn’t just an update; it’s a resounding declaration of market leadership and an unwavering commitment to player prosperity.


SportPesa’s Aviator new limits 

SportPesa’s latest announcement regarding the Aviator game signifies more than a mere adjustment; it represents a complete transformation of the player experience. By strategically recalibrating both the entry and peak betting thresholds, and most notably, introducing an astonishing maximum win per bet, the company illustrates its profound dedication to its diverse player base and a visionary understanding of contemporary market dynamics. This strategic evolution firmly establishes SportPesa as the definitive platform for exhilarating and profoundly rewarding gaming adventures in Tanzania.

The 1 TZS Minimum Bet Unlocks Access for All

The pioneering introduction of a mere 1 TZS minimum bet is a powerful testament to SportPesa’s dedication to genuine inclusivity and broad appeal. This remarkably low entry point ensures that the thrilling universe of “SportPesa Aviator for all ” is not just an aspirational concept but a tangible reality for every Tanzanian. It effectively democratizes the exhilarating Kindege experience, enabling millions, irrespective of their financial capacity, to participate in the excitement and pursue substantial wins. This strategic move dramatically boosting the growth of players. This widespread accessibility is fundamental to mass adoption and profoundly influences how this engaging content achieves prominence across digital channels.

The 500,000 TZS maximum bet empowers high rollers

For ambitious players who dare to dream bigger and engage with greater conviction, the significantly elevated maximum bet of 500,000 TZS unveils a vast realm of unprecedented opportunity. This empowers experienced players and high rollers to strategize with considerably larger stakes, thereby multiplying their potential returns exponentially. This meticulously calculated adjustment caters to a crucial, often underserved segment of the market, unequivocally reinforcing SportPesa’s undisputed position as the premier destination for serious enthusiasts seeking “high stakes Aviator,” “Tanzania’s biggest betting limits,” and “SportPesa VIP betting.” It’s an explicit invitation to experience Aviator betting on a truly grand scale, enhancing its stature as a reliable and significant source for premium entertainment.

350,000,000 TZS Max Win is the biggest possible in Tanzania’s Aviator

Perhaps the most sensational and impactful announcement is the staggering maximum win per bet: an astronomical 350,000,000 TZS. This isn’t merely a figure; it represents a truly life-altering sum capable of transforming futures. This unprecedented win ceiling acts as a powerful, irresistible draw, poised to attract countless new users eager to chase their fortune and experience the thrill of monumental success. 

This strategic recalibration by SportPesa masterfully amplifies its Tanzanian presence.

SportPesa’s decisively redefined Aviator game limits mark a monumental transformation, not only for discerning players but for the entire competitive online entertainment industry in Tanzania. By delivering an unmatched combination of universal accessibility and unprecedented winning potential, SportPesa is not merely responding to existing market dynamics; it is assertively and confidently shaping them, establishing a new gold standard. This incredibly bold and strategically brilliant move meticulously continues to place SportPesa at the forefront of all online Aviator popularly known as Kindege. Don’t just play; soar to unimaginable heights with SportPesa.

Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO FEBRUARI 11,2026

Magazeti




                      

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger