Saturday 23 July 2016

ANGALIA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWAPAMOJA NA APPLICATIONS FOR ADMISSION INTO NON DEGREE (DIPLOMA AND CERTIFICATE) PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2016/2017-NACTE

...


                 



Nacte wametoa majina ya wanafunzi waliofanikiwa kuchaguliwa 

katika vyuo mbalimbali 

afya,ualimu ,kilimo na mifugo kwa level ya cheti na  diploma.

Pia inakaribisha maombi mapya kwa wanafunzi wapya.


Baraza linapenda kutoa taarifa kuwa Mfumo wa Udahili wa 

Pamoja   (CAS) umefunguliwa 

tena kuanzia tarehe 22 Julai 2016 ili kujaza nafasi za udahili zilizo 

wazi baada ya Baraza kuchagua waombaji udahili waliowasilisha 

maombi yao kuanzia tarehe 4 Machi 2016 hadi tarehe 3 Juni 2016.

 Mwisho wa kuwasilisha maombi ni  tarehe 5 Agosti 2016 saa sita usiku.




Waombaji wapya na baadhi ya waombaji walioshindwa kukamilisha

 maombi yao kupitia 
 
mtandao ilipofika tarehe 3 Juni 2016, wanaarifiwa kuanza 

kuwasilisha maombi ya udahili kupitia Mfumo wa Udahili wa 

Pamoja (CAS) ili kujaza nafasi zilizo wazi. Waombaji wanahimizwa

 kutumia muda huu wa nyongeza ili kuwasilisha maombi.


Baraza linapenda pia kuwaarifu waombaji udahili na umma kwa 

ujumla kuwa vikao vya Kamati za kuidhinisha majina ya waombaji 

udahili kupitia Mfumo wa Udahili wa Pamoja (CAS) vilipitisha 

orodha ya majina  ya wenye sifa za udahili kulingana na nafasi za 

udahili kwa kila kozi zitolewazo na vyuo husika kati ya tarehe 18 

Julai 2016 na 21 Julai 2016. Majina ya waombaji waliochaguliwa 

kwa kila kozi itolewayo na chuo husika yamekabidhiwa vyuoni 

kupitia Mfumo wa Udahili wa Pamoja (CAS). Waombaji 

waliochaguliwa nao wamearifiwa kupitia kurasa (profile) zao 

binafsi au kwa                                                     











 

Waombaji ambao hawakuchaguliwa wamejulishwa sababu 

zilizowafanya wasichaguliwe kupitia kurasa (profile) zao pia.


Kwa waombaji wa Shahada ya Kwanza waliowasilisha maombi yao 

kupitia NACTE, Baraza linapenda kuwaarifu kuwa, mashauriano 
 
kati ya NACTE na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU)

yanaendelea kufanyika ili kufanikisha udahili wa waombaji wa kozi

 za Shahada ya Kwanza kama Serikali ilivyoagiza.



Imetolewa na

Ofisi ya Katibu Mte
 
ndaji
 

NACTE

Tarehe: 22 Julai, 2016 
AU 








** We wish to inform all applicants that the online application will be active from Monday, 24 July 2016


Issued by: The Office of Deputy Vice Chancellor (Academic, Research and Consultancy)
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger