Friday 29 July 2016

Taarifa kwa Wanafunzi Wote Kuhusu tarehe ya Kufungua Chuo sekta ya uvuvi Tanzania bara 2016/2017

...

 Fisheries Education and Training Agency

Taarifa kwa Wanafunzi Wote Kuhusu Kufungua Chuo

Kurugenzi ya Mafunzo na Utafiti Inapenda Kuwatangazia Wanafunzi Wote wa Wakala Wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA) kwamba, Tarehe ya Kufungua Chuo Imebadilishwa tena na Hivyo kwa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza (New Comers) Pamoja na Wale Wanaotarajia Kufanya Mitihani ya Supplementary na Mitihani Maalum (Special Exams) Wataripoti Kuanzia Siku ya Jumatatu ya Tarehe 29 Mwezi Agosti. Aidha Wanafunzi Wanaoendelea Wao wataripoti chuo Kuanzia Jumatatu ya Tarehe 5 Mwezi wa Septemba. Tunaomba Radhi sana Kwa Usumbufu Wote Ambao utajitokeza.
Imetolewa na
Kurugenzi ya Mafunzo na Utafiti
28/07/2016
 
 
 
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger