Monday 18 July 2016

Audio: Chid Benz na Rayvany wametuletea huu mdundo ‘Chuma’

...

Baada ya kimya kirefu mkali wa midundo ya Hiphop nchini Chid Benz leo July 18 2016 anatualika kwenye ngoma yake mpya ya ‘Chuma’ aliyomshirikisha Rayvany kutoka WCB, ngoma iliyotayarishwa na proudcer Laizer pamoja na Mr T Touch, usisahahu pia kuniachia comment yako hapa kuhusiana na huu mdundo na wakali hawa wataziona hapa

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger