Monday 31 August 2015

DOWNLOAD YAMOTO BAND -CHEZA KWA MADOIDO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

WAZIRI WA ELIMU MSTAAFU JOSEPH MUNGAI AJIUNGA CHADEMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 
 
Aliyekua Waziri wa Elimu Joseph Mungai na mkewe wametangaza kuhama CCM na kujiunga na CHADEMA Mafinga leo ambapo mgombea urais kupitia UKAWA /CHADEMA Edward Lowassa yupo mkoani Iringa kwaajili ya kampeni
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATATU AGOSTI TAREHE 31.8.2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY








Share:

Sunday 30 August 2015

HAYA HAPA MAJINA WANAFUNZI WA DIGRII,DIPLOMA NA CHETI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA JESHI LA POLISI 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Tangazo la Kazi, Usaili na Mafunzo

newImage Tangazo lakuitwa katika usaili Jeshi la Polisi Tanzania kwa wahitimu wa shahada, stashahada na astashahada.Bonyeza hapa kupata orodha ya majina hayo na mahali usaili utakapofanyika.
newImageTangazo la Wito chuo cha polisi moshi kwa wahitimu wa kidato cha sita mwaka 2014, kidato cha nne mwaka 2014 na JKT mwaka 2015 waliochaguliwa kujiunga na jeshi la Polisi.Bonyeza hapa kupata majina hayo.
newImage Tangazo la nafasi za kazi kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani.
Bonyeza UNHCR vacancies 
un logo 
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI AGOSTI 30 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Friday 28 August 2015

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOKOSEA KUJAZA FOMU BODI YA MIKOPO 2015/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


 
Baada ya serikali kukaa kimya kwa mda mrefu atimae imetangaza Majina ya wanafunzi waliokosea kujaza fomu za mikopo.

Kama kawaida yetu TANGA YETU &MASWAYETU BLOG Tupo hapa kuhakikisha unapata habari kwa wakati,endapo utataka kuangaliziwa jina lako umechaguliwa shule gani fanya yafuatayo;

1.TUMA JINA LAKO KWENDA NAMBA 0652740927mfano:PAUL PAUL(helsb 2015/16)
Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA AGOSTI TAREHE 28/08/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Thursday 27 August 2015

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI AGOSTI 27 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY





Share:

Wednesday 26 August 2015

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Habari zenu yafutayo ni majina ya vijana waliomaliza kidato cha nne 2014,kidato cha sita 2014 jkt 2015 waliofanya usaili na kuchaguliwa kujiunga na jeshi la polisi CHUO CHA POLISI MOSHI. Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG tunaendelea kutoa huduma ya kuangalizia watu majina yao kama utakuwa umechaguliwa kujiunga na jeshi la polisi

Ili kuangaliziwa jina lako fanya yafuatayo; 1.TUMA JINA LAKO KWENDA NAMBA 0768260834 2.HUDUMA HII UTATOZWA TSHS 1000 TU AMBAYO
   UTAITUMA KWA MPESA AU TIGO  PESA KWENDA
   NAMBA:-0768260834(MPESA)

                   -0652
3.UTAJIBIWA NDANI YA DAKIKA MOJA TU.
KARIBU SANA MASWAYETU BLOG TEAM  kuangalia majina hayo bonyeza hapo chini;

Tangazo la Wito Chuo Cha Polisi Moshi

newImageTangazo la Wito chuo cha polisi moshi kwa wahitimu wa kidato cha sita mwaka 2014, kidato cha nne mwaka 2014 na JKT mwaka 2015 waliochaguliwa kujiunga na jeshi la Polisi.
Bonyeza hapa kupata majina hayo.
Share:

New AUDIO | Snaida - Ukawa | Download/Listen

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

DOWNLOAD via HULKSHARE
http://old.hulkshare.com/dl/msixlc4yk45c/Snaida_-__Ukawa_Final.mp3?d=1
Share:

New AUDIO | D.MANYUTI - MAGUFULI | Download/Listen

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

DOWNLOAD via HULKSHARE
http://old.hulkshare.com/dl/244xt27v34zk/D.MANYUTI_-_Magufuli.mp3?d=1
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATANO AGOSTI TAREHE 26/08/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Tuesday 25 August 2015

MH.LAURANCE MASHA AKAMATWA NA JESHI LA POLISI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Aliyekuwa waziri wa Mashauri ya Ndani ambae sasa ni mwanachama wa CHADEMA Mh Laurance Masha amekamatwa jioni ya leo na jeshi la polisi nchini.

Tukio la kukamatwa Masha limefuatia kukamatwa kwa wanachama 18 waliokuwa kwenye harakati za kawaida za uenezi wa chama chao katika kampeni ya kawaida ya nyumba kwa nyumba na mtu kwa mtu ambayo haizuiwi na sheria yoyote ile nchini.

Baada ya kukamatwa vijana hao na kufikishwa kituo cha Ostarbay, Mh Masha aliamua kwenda kufuatilia sababu za kukamatwa kwa wanaukombozi hao, ajabu alipofika tu nae akatiwa mbaroni.
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMANNE AGOSTI TAREHE 25/08/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Monday 24 August 2015

MPYA:UFUNGUZI RASMI WA UKAWA NI TAREHE 29/8/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Chama cha UKAWA rasmi kinatarajia kufungua kampeni zake siku ya tarehe 29/8/2015 siku ya JUMAMOSI,hivyo ukiwa kama mwana mageuzi ya kweli unaombwa kujitokeza ili ushuhudie nini UKAWA imekuandalia kwa miaka mitano ijayo. 

Tulianza na mungu,Tupo na mungu na tutamaliza na mungu.
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATATU AGOSTI TAREHE 24/08/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Share:

Sunday 23 August 2015

SECOND SELECTION KIDATO CHA TANO(5) 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


  UTEUZI KIDATO CHA 5 – AWAMU YA PILI 2015. Ufaulu wa watahiniwa Kidato cha Nne kwa mwaka 2014 kuanzia daraja la Distinction hadi Credit yaani GPA

BONYEZA HAPA KUSOMA TAARIFA KAMILI KUHUSU SECOND SELECTION KIDATO CHA TANO 2015

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger