Saturday 31 January 2015

NEWS:MEYA MANISPAA MOROGORO, WAANDISHI WA HABARI WAPATA AJALI-MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY(MASWAYETU BLOG)

Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe ( wa kwanza kushoto) akiwa na Mkuu wa wilaya ya Morogoro , Said Amanzi , wakipita eneo ambalo gari la namba SM 4151 Nissan iliyokuwa ikitumiwa na Meya wa Manispaa ya Morogoro, Amir Nondo , ilipogongwa Januari 30, mwaka huu saa 9: 30 alasiri eneo la Mzambarauni Darajani -Msamvu barabara kuu ya Moro- Dar na Basi la Abiria aina ya Scania yenye namba za usajili T 831 CEH (Happy Africa ),iliyokuwa ikitokea mkoani Njombe kwenda Dar es Salaam .Meya huyo na watu wengine watatu walijeruhiwa na kukimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro na kulazwa wakindelea kupatiwa matibabu.
Share:

Friday 30 January 2015

AJIRA MPYA: WIZARA YA AFYA 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
(Ndugu wasomaji wetu wa blog hii ya MASWAYETU tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi kwenye blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote,tutaweka tangazo lako bure kwa siku tano baada ya hapo tunaweka mkataba kama utaridhika,Tafadhali wasiliana nasi kwa kupiga namba 0768260834 au 0653791475)
                                  

Habari zenu ,kuna majina ambayo yameongezwa katika ajira za wizara ya afya tofauti na zile zilizotoka mwanzo,kama kawaida yetu maswayetu blog tupo vizuri kukuhabarisha ewe mpenzi msomaji wetu .
Pia tunaendelea kutoka huduma ya kuangalizia watu kama umeajiriwa au la kwa haya majina yalioongezewa katika ajira hizi(OFA TUTAKUANGALIZIA JINA LAKO NA RAFIKI YAKO KWA GHARAMA ILE ILE),
 Fanya yafuatayo;
1.Tuma jina lako kamili,fani uliyosomea mfano nurse grade II 
2.kwenda namba 0768260834
3.Huduma hii utatozwa tshs.1000 tu,
4.Pesa zote zitumwe kwenda namba 0768260834 (mpesa) au 0653791475-tigo pesa na aitel money
5.SMS zote lazima zijibiwe,hutajibiwa hadi tupokee pesa yako,tuma kwanza pesa then jina.
Share:

Thursday 29 January 2015

SOMA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI TAREHE 29 JANUARY 2015-KUBWA ZAIDI SAKATA LA LUPUMBA LATIKISA BUNGE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

.
Share:

Wednesday 28 January 2015

MPYA:DOWNLOAD HAPA RATIBA YA MTIHANI UTAKAOANZA TAREHE 16 FEBRUARY 2015-CHUO KIKUU CHA SOKOINE-SUA KOZI ZOTE(TAFADHALI SHARE NA WENZAKO)

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY(MASWAYETU BLOG)

EXAMINATION TIMETABLE STARTING ON 16 FEBRUARY

LETTER 
Degree Programme
Year
BSC. Agic Econ&Agribus.
123
BSc. Agric General
123
BSc. Agronony
123
BSc. Animal Science
123
BSc. Aquaculture
123

Share:

Tuesday 27 January 2015

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 27 JANUARY 2015,KUBWA ZAIDI MAFUNZO JKT YASITISHWA,SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
.
Share:

Monday 26 January 2015

TANGAZO LA KAZI SEKRETARIETI YA AJIRA-KILIMO,MISITU NA WANYAMAPORI,OMBA HARAKA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kumb. Na EA.7/96/01/H/34 23 Januari, 2015
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa 
mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa
na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki,
pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea
katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi kwa
Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 121 za kazi kwa ajili ya Wizara,
Idara zinazojitegemea, Wakala wa serikali na Mamlaka za serikali za mitaa

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger