Friday 31 July 2015

MAGAZETI YA LEO IJUMAA TAREHE 31.07.2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Thursday 30 July 2015

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI TAREHE 30.7.2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Wednesday 29 July 2015

Magazeti ya leo jumatano julai 29,2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Tuesday 28 July 2015

Mtoto wa Gaddafi ahukumiwa kunyongwa

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Saif_Gaddafi_Zinta_2934739b
Share:

Picha mbalimbali :LOWASSA RASMI UKAWA,AKABIDHIWA KADI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Sunday 26 July 2015

MAGUFULI AWATAKA WANANCHI WACHAGUE WABUNGE WA CCM

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
MGOMBEA urais mteule wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amewaomba wananchi wa mkoa wa
Share:

Breaking news: MABADILIKO YA SHULE/TAHASUSI KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI MWAKA 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 



MABADILIKO YA SHULE/TAHASUSI KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI MWAKA 2015

Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) ilitangaza majina ya wanafunzi wa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi mwaka 2015, tarehe 30 Juni, 2015. Baada ya majina haya kutangazwa, OWM-TAMISEMI imepokea maombi mengi toka kwa Wazazi/Walezi na Wanafunzi ya
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JULY 26 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

...
 read more>>>>>>>>.

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JULY 26 2015

Share:

Saturday 25 July 2015

ANGALIA MATOKEO YA UCHAGUZI BURUNDI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

WABUNGE WA VITI MAALUMU MKOA WA SHINYANGA KUPITIA CCM

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 

Mheshimiwa Lucy Mayenga
Wanachama wa Umoja wa Wanawake CCM(UWT) mkoa wa Shinyanga waliojitokeza kugombea nafasi za ubunge  viti maalum kati ya kumi waliojitokeza kuwania nafasi hiyo,Mheshimiwa Lucy Mayenga ameibuka mshindi wa kwanza kwa kupata kura  353 akifuatiwa na mheshimiwa Aza Hilal aliyepata kura 342 kati ya kura 440 zilizopigwa.



Katika uchaguzi huo mgombea kupitia kundi la Wafanyakazi aliyejitokeza ni mmoja pekee ambaye ni Dkt Flora Masakilija,kundi la watu wenye ulemavu pia alijitokeza mmoja Rehema Joshua ambao wote walipata kura za ndiyo 331
Mheshimiwa Aza Hilal
Share:

MPYA:WEMA SEPETU AKATWA KAMA LOWASSA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JULY 25 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Thursday 23 July 2015

JOB OPPORTUNITIES SAUT

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
The Saint Augustine University of Tanzania announces the Job Opportunities for the academic year 2015/2016. Applicants should have PhD in the area of specialization indicated here in below.
Academic Rank Required Field of Study
Lecturer/Associate/Professor Accounting and Finance
Lecturer/Associate/Professor Human Resources Management
Lecturer/Associate/Professor Sociology
Lecturer/Associate/Professor Education
Lecturer/Associate/Professor Philosophy
Lecturer/Associate/Professor Journalism and Mass Communications
Lecturer/Associate/Professor Law



Mode of Application and Deadline
Your application should include application letter, Up to date Curriculum Vitae stating in full physical address, telephone numbers and email addresses of the candidate, certified copies of Academic transcripts and Certificates, date of birth and the related years of experience if any.
All applications should be submitted through postal/courier services or online.  Application should reach the undersigned by 4.00 pm on 3rd August 2015
  
Director of Human Resource
St. Augustine University of Tanzania
P.O.Box 307
MWANZA
 
Share:

UKAWA hawana sababu kumuogopa Magufuli

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Image result for photos of magufuli and ukawaImage result for photos of magufuli and ukawa
       Hakuna ubishi kuwa mgombea mteule wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli ana ushawishi mkubwa nchini. Hata hivyo, hii si sababu ya wapinzani chin
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger