Wednesday 31 March 2021

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI APRILI 1, 2021

Magazetini leo Alhamis April 1 2021










R

Share:

RAIS SAMIA AMTEUA BALOZI YAHAYA KATTANGA KUWA KATIBU MKUU KIONGOZI KUCHUKUA NAFASI YA DK. BASHIRU


Balozi Hussein Yahaya Kattanga
**
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi wa Tanzania nchini Japan, Hussein Yahaya Kattanga ameteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuwa Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali na kushika nafasi ya aliyekuwa katibu mkuu Kiongozi Dkt. Bashiru Ally ambaye ameteuliwa kuwa Mbunge.

Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu leo ameteua wabunge wapya watatu ambao ni Dkt. Bashiru Ally, Mbarouk Nassor Mbarouk na Balozi Liberata Mulamula.
Share:

DK. PHILIP MPANGO AAPISHWA KUWA MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA


Makamu wa Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt .Philip Isdor Mpango akiapa kuwa Makamu wa Rais mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahimu Juma, leo Ikulu Chamwino jijini Dodoma.Uapisho huo umeshuhudiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Share:

RAIS SAMIA AFANYA MABADILIKO KATIKA BARAZA LA MAWAZIRI


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri. 

Share:

MCHINA AKAMATWA KWA KUWACHARAZA VIBOKO MADEREVA WAILI


Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia raia wa China Xiao Yong (33) kwa tuhuma za kuwashambulia kwa kuwacharaza viboko madereva wawili kwa madai ya kutumia fedha walizopatiwa kupeleka wilayani Kyela kwenye mashine za mchezo wa kubahatisha.

Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya Urlich Matei jana Jumanne Machi 30, amewataja walioshambuliwa kwa viboko na kusababishiwa maumivu makali kuwa ni Ramadhani Ulodi (27) na Omary Miraji 25).

Amesema awali jeshi lilipata taarifa kutoka katika mitandao ya kijamii zikionyesha raia wa Tanzania wakichalazwa viboko na ndipo walipanza kufuatilia na kubaini lilitokea katika Mtaa wa Meta, Kata ya Mabatini Jijini hapa.

“Tulianza ufuatiliaji na kubaini Watanzania hao ambao ni waajiriwa wa Kampuni ya Bonanza,”amesema.

Matei amesema polisi hawajafurahishwa na kitendo hicho na kuonya raia wa kigeni kuachana na tabia ya kujichukulia sheria mikononi kwa kuwapiga waajiriwa wao badala yake wawafikishe katika vyombo vya dola.

Amesema mtuhumiwa anaendelea kuhojiwa katika kituo kikuu cha polisi na atafikishwa mahakamani uchunguzi wa kesi hiyo utakapokamilika.

CHANZO - GLOBAL PUBLISHERS
Share:

MWILI WA BIBI WA OBAMA WAZIKWA KENYA



Sarah Obama ambaye ni Bibi wa Rais Mstaafu wa Marekani Barack Obama, amezikwa jana Machi 30,2021 nyumbani kwake Kogelo, Siays nchini Kenya.

Mazishi hayo yamehudhuriwa na watu 100 tu  kutokana na marufuku mpya iliyotangazwa ya kupambana na ugonjwa wa Corona.

Sarah Obama alifariki juzi akiwa na miaka 99 katika Hospitali ya Jaramogi Oginga, Rais Mstaafu Obama, hakuhudhuria mazishi hayo lakini aliwasilisha salamu zake za pole Jumatatu.

Ulinzi mkali uliimarishwa kwenye kijiji cha Nyangoma Kogelo ili kuzuia maelfu ya waombolezaji walikuwa wanataka kuhudhuria mazishi ya Bibi Sarah.
Share:

Assistant Environment Officer at UNHCR

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Eligible Applicants This Job Opening is available to eligible UNHCR staff members and external applicants. Procedures and Eligibility Interested applicants should consult the Administrative Instruction on Recruitment and Assignment of Locally Recruited Staff (RALS). Applicants must be nationals of, and be locally recruited within the country of their employment. Duties and Qualifications Assistant Environment Officer […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Head Of Finance at Bank of India

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Bank of India is a leading Public sector Bank in India and completed 114 years in 2020. It has network of over 5000 Branches in India and 60 Overseas Branch/Offices across the globe in all important centres .Bank of India (Tanzania) Ltd, is a fully owned subsidiary of Bank of India, is now looking for […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

BLOGGER SHAMIMU MWACHA NA MMEWE WATUPWA JELA MAISHA


Mahakama Kuu kitengo cha Uhujumu Uchumi na Makosa ya Rushwa, maarufu kama Mahakama ya Mafisadi, imemhukumu blogger Shamimu Mwasha (41), na mume wake Abdul Nsembo, maarufu kama Abdulkandida (45) kutumikia kifungo cha maisha gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroine.

Hukumu hiyo imetolewa leo Machi 31, 2021 na Jaji Elieza Luvanda baada yaa kuridhika na ushahidi uliotolewa mahakamani hapo na mashahidi sita wa upande wa mashtaka.

Shamimu anayemiliki Blog ya 8020 na mumewe Nsembo, walikuwa wanakabiliwa na
mashtaka mawili ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroini gramu 439.70, kosa wanalodaiwa kulitenda Mei mosi 2019 huko Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.

CHANZO- MICHUZI BLOG
Share:

AJALI YA BASI YAUA WATU SITA NA KUJERUHI 19

Watu sita wamefariki dunia na wengine 19 wamejeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Machame Investment lililokuwa likitoka jijini Dodoma kwenda Moshi kupata ajali kwenye kijiji cha Kiongozi wilaya ya Babati mkoani Manyara.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Kamishina Msaidizi Mwandamizi Paul Kasabago amesema uchunguzi wa awali wa ajali hiyo iliyotokea Jumanne Machi 30,2021 unaonyesha chanzo ni mwendo kasi.

Share:

Assistant Records Management Officer II at Maswa District

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Assistant Records Management Officer II at Maswa District March, 2021. Maswa District is one of the five districts of the Simiyu Region of Tanzania Inhabited by Sukuma. It is bordered to the north by Magu District and Itilima District, to the east by the Meatu District, to the south by the Kishapu District, and to […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

JITIBU TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME KWA KUTUMIA FULL POWER.. UUME MDOGO ZAT 50 NDIYO SULUHISHO



Zati 50


Full Power



Sababu za upungufu wa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume:

⇒Ngiri,


⇒Henia


⇒Kisukari


⇒Tumbo kujaa gesi

⇒Kutopata choo vizuri


⇒Utumiaji madawa kwa muda mrefu


⇒Unywaji wa pombe kupita kiasi


⇒Msongo wa mawazo 

⇮⇒Haya yote hupelekea mwili kutokuzalisha homoni ya gesrtogine au kuwa chache na kushindwa kupata mzunguko mzuri wa damu na vichocheo vingine kama madini ya zinki ambayo hukufanya kuwa na msisimko  na kufanya kuwa na muda  mrefu na nguvu za kutosha.

ZAT 50

⇨ Inarutubisha maumbile ya uume  na kunenepesha urefu nchi 6,unene sentimita 4

⇨Dawa hii ni ya kutibu kabisa tatizo hilo.


FULL POWER

⇨Ni dawa ya vidonge ya miti shamba inaongeza nguvu za kiume na kutibu kabisa tatizo hilo.

⇨Inaongeza hamu ya tendo la ndoa
⇨Inakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya Dakika 30 na kurudia tendo zaidi ya mara nne na zaidi.

Pia tunatibu Magonjwa mengine Kama

Matatizo ya pumu,Bawasiri, vidonga vya tumbo,Kisukari,Magonjwa sugu ya zinaaa,Kaswende,U.T.I , kiuno,miguu kuwaka moto, Fangasi sehemu za Siri, kupunguza unene wa mwili,tumbo kuunguruma,kujaa gesi, matatizo ya uzazi kwa wanawake, kurutubisha mbegu za uzazi kwa akina baba, matatizo ya meno tunatibu bila kungoa

Kliniki yetu inapatikana Zanzibar, Dar es salaam na Shinyanga.

Wasiliana nasi kwa simu namba 071770 22 27
Share:

Chief Operating Officer (COO) at SAT Holistic Group Limited

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

SAT Holistic Group Limited is a social business which is engaged in collaborating with an organic small-scale farmers network of 3500 farmers, with upgrading and selling their products to the domestic and international market. The social business SAT Holistic Group Limited is affiliated with Sustainable Agriculture Tanzania and supports the NGO in achieving its vision through […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Monitoring and Evaluation Intern at SNV

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

SNV is a not-for-profit international development organisation. Founded in the Netherlands 50 years ago, we have built a long-term, local presence in 39 of the poorest countries in Asia, Africa, and Latin America. Our global team of local and international advisors works with local partners to equip communities, businesses and organisations with the tools, knowledge […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

E-Commerce Specialist at Sea Cliff Hotel Tanzania

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

E-Commerce Specialist Location: Dar es Salaam, Tanzania Job Title: E-commerce Specialist We are currently looking for an energetic and passionate E-commerce Executive To assist E-Commerce Team to manage 3rd Party, website extranet in term of:- Open/close as hotels request Upload hotel information/rate/allotment/promotion Generate materialized reservation, pick up, production, etc. Communicate with hotels reservation MAJOR TASKS Drive Search […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Engineering Services Manager at Unilever

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Business Context and Main Purpose of the Job This role has the overall responsibility for managing all sourcing unit engineering projects and has total responsibility for maintenance, including utilities, production lines, processing plants, irrigation equipment, power line infrastructure, roads and buildings.  The primary objective of the job is to implement improvements contributing to the factory’s […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Security Investigator at U.S. Embassy Dar es Salaam

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

The U.S. Mission in Dar es Salaam is seeking eligible and qualified applicants for the position below. Position Title: Security Investigator Vacancy Number: DaresSalaam-2020-009   Summary: The U.S. Mission in Dar es Salaam is seeking eligible and qualified applicants for the position of Security Investigator (Senior) in the Regional Security Office. Supervisory Position: Yes Relocation […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Security Investigator (Senior) at U.S. Embassy Dar es Salaam

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

The U.S. Mission in Dar es Salaam is seeking eligible and qualified applicants for the position below. Position Title: Security Investigator (Senior) Vacancy Number: DaresSalaam-2020-013 Announcement Number: DaresSalaam-2021-013 Hiring Agency: Embassy Dar Es Salaam Position Title: Security Investigator (Senior) (All Interested Candidates) Open Period: 03/30/2021 – 04/13/2021Format MM/DD/YYYY Vacancy Time Zone: GMT+3 Series/Grade: LE – […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Manufacturing Team Leader at Coca-Cola Kwanza

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Reference Number CCB210329-3 Job Title MANUFACTURING TEAM LEADER Function Manufacturing Company Coca-Cola Kwanza (Tanzania) Job Type Permanent Location – Country Tanzania Location – Province Not Applicable Location – Town / City Mbeya Job Description Coca-Cola Kwanza Ltd has an exciting opportunity in Manufacturing Department. We are looking for a talented individual with the relevant skills […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Process Controller at Coca-Cola Kwanza

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Reference Number CCB210329-2 Job Title PROCESS CONTROLLER Function Manufacturing Company Coca-Cola Kwanza (Tanzania) Job Type Permanent Location – Country Tanzania Location – Province Not Applicable Location – Town / City Mbeya Job Description Coca-Cola Kwanza Ltd has an exciting opportunity in Manufacturing Department. We are looking for a talented individual with relevant skills and experience […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO MACHI 31,2021

















Share:

Tuesday 30 March 2021

DKT. PHILIP MPANGO KUAPISHWA KESHO KUWA MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA



Share:

KAULI YA DKT. MPANGO BAADA YA KUTEULIWA KUWA MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA


Aliyekuwa Waziri wa Fedha Dkt. Philip Mpango ambaye ameteuliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amemshukuru Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na kusema amepigwa na butwaa na hakuwahi kuota.

''Namshukuru Rais Mhe. Samia Suluhu kwa kupendekeza jina langu na kuridhiwa na chama chetu cha CCM kuwa Makamu wa Rais, sikuwahi kuota, nimepigwa na butwaa,'' amesema Dkt. Philip Mpango.
 

Waziri huyo wa Fedha na Mipango ameeleza hayo leo Jumanne Machi 30, 2021 mara baada ya Spika wa Bunge, Job Ndugai kutangaza jina lake katika kikao cha kwanza cha Bunge la 12.

Huku akizungumza kwa umakini, amesema; “Hii ni nafasi muhimu sana na nyeti ya makamu wa rais ni heshima kubwa sana sikuwahi kuota, wakati naibu wangu anajibu swali nilikuwa nahangaika kwenye mambo mengine ikiwemo mishahara ya baadhi ya wabunge, nimetoka nje mara kadhaa kujaribu kuhangaika lakini nimepigwa na butwaa.”

Baada ya mjadala wa wabunge kuhusu uteuzi huo, wabunge watapiga kura kuthibitisha jina la Dk Mpango.

Uteuzi huyo umekuja kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati. Dk. John Pombe Magufuli na aliyekuwa Makamu wake Mhe. Samia Suluhu Hassan kuapishwa kushika nafasi ya Rais kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hivyo kufanya nafasi ya Makamu wa Rais iwe wazi na leo imejazwa rasmi.



Share:

KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM TAIFA CHAFANYIKA LEO JIJINI DODOMA

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo March 30,2021 ameshiriki katika kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambacho ni kikao Maalum kinachoendelea Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Jijini Dodoma.



Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger