Wednesday 31 March 2021

AJALI YA BASI YAUA WATU SITA NA KUJERUHI 19

...
Watu sita wamefariki dunia na wengine 19 wamejeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Machame Investment lililokuwa likitoka jijini Dodoma kwenda Moshi kupata ajali kwenye kijiji cha Kiongozi wilaya ya Babati mkoani Manyara.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Kamishina Msaidizi Mwandamizi Paul Kasabago amesema uchunguzi wa awali wa ajali hiyo iliyotokea Jumanne Machi 30,2021 unaonyesha chanzo ni mwendo kasi.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger