Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia wa
wakazi wa Kahama mkoani Shinyanga mara baada ya kuwasili akitokea Nzega
mkoa Tabora Julai 31,2016
Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Mbunge wa
zamani wa Kahama James Lembeli mara baada ya kuwasalimia wananchi
waliofika kwa ajili ya kumsikiliza Rais katika viwanja hivyo vya Kahama.
Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia wa wakazi wa Isaka mkoani Shinyanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ameambatana
na Mbunge wa zamani wa Kahama James Lembeli ambaye ni mwanachama wa
Chadema mara baada ya kumaliza kuhutubia mkutano mjini Kahama mkoani
Shinyanga.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akicheza pamoja na
Wanakwaya wa Haleluya Kuu kutoka Kanisa la KKKT-Usharika wa Yeru Ndala
Shinyanga mara baada ya kumaliza kuhutubia mkutano Kahama mjini mkoani
Shinyanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia mara
baada ya kuoneshwa picha yake na kijana mmoja aliyeishika picha hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia ya wakazi wa Tinde mkoani Sinyanga-Picha zote na IKULU
0 comments:
Post a Comment