Tuesday 20 May 2014

BIBI HARUSI ATOA YA MOYONI SOMA ALICHOSEMA NA KUWAPA ISHARA YA MBAYA WALIO UZURIA HARUSI YAKE

...


1. Ukiwa single watakuuliza...... kwanini huna GF au BF??
2. Ukiwa na mchumba..... watahoji mmekaa sana mwaoana lini??
3. Ukioa utasikia............. mbona hamzai nyie twataka wajomba na shangazi..!!

4. Mkizaa watakuja na hii..... mtoto kakua mtafutieni dada au kaka yake!
5. Ukimtafuta....... utasikia mbona mnazaa haraka haraka hamuogopi maisha.??
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger