Thursday 15 May 2014

JB : MAJUNGU YANANITESA KILA KUKICHA

...

BABA la baba, Jacob Steven ‘JB’ amenyanyua kinywa chake na kutamka kuwa anateswa na majungu katika fani hivyo angekuwa na mbadala wa kazi, angechepuka.
BABA la baba, Jacob Steven ‘JB’
Akistorisha na gazeti hili hivi karibuni, JB alisema licha ya umri wake mkubwa katika tasnia ya filamu lakini suala la majungu limekuwa likimtesa na mbaya zaidi ni ngumu kulidhibiti.
“Kusema ukweli majungu ni mengi kiasi ambacho kungekuwa na mbadala wa kazi ningefanya ili niwaache na majungu yao ya kila kukicha,” alisema JB.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger