Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na Mwenyekiti wa Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii
(NSSF),Ndg. Aboubakar Rajab wakati wakiingia Ukumbiti tayari kwa
kushiriki chakula cha jioni na Wadau mbali mbali wa NSSF wanaohudhulia
Mkutano wa Nne wa Wadau wa Shirika
la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) unaoambatana na Maadhimisho ya
Miaka 50 ya NPF-NSSF.Tafrija hiyo imefanyika usiku huu kwenye Hoteli ya
Mount Meru,Jijini Arusha.
0 comments:
Post a Comment