Friday 16 May 2014

HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA DKT ASHA-ROSE MIGIRO KWA MWAKA 2014/2015

...



images_3b1a7.jpg
HOTUBA YA WAZIRI WA KATIBA
NA SHERIA MHESHIMIWA ASHA-ROSE MTENGETI MIGIRO (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MPANGO
NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA
MWAKA 2014/2015

A.    UTANGULIZI

1.    Mheshimiwa Spika, kufuatia taarifa iliyowasilishwa leo ndani ya Bunge lako tukufu na Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako tukufu likubali kupokea, kujadili na kupitisha Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka 2014/2015.
Read more...
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger