Tuesday 1 July 2014

MBUNGE MH. MGIMWA" AWAHAKIKISHIA UMEME MGAMA"

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa wa nne kulia akikagua nguzo za umeme ambazo zimeanza kushushwa kwa ajili ya mradi wa umeme vijijini kama alivyoahidi wakati wa kampeni zake ni takribani miezi miwili sasa utekelezaji umeanza


Hizi ni nguzo za umeme ambazo zimeshushwa kijiji cha Mgama kwa ajili ya mradi wa umeme
Mbunge wa jimbo la kalenga akizungumza na wananchi wa Mgama baada ya kutembelea kijiji hicho na kujionea utekelezaji wa ilani ya CCM na ahadi yake ya kuwaahidi umeme wa uhakika wananchi hao(Martha Magessa)
CHANZO:FRANCIS GODWIN
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger