Tuesday 15 July 2014

EDWARD LOWASSA:AFUNGUKA KUHUSU URAIS 2015,SOMA HAPA UKWELI WOTE

...


Naipenda Nchi yangu Tanzania, Namwamini Edward Lowassa 2015 kwa haya tu inatosha mimi kumpatia kura yangu pamoja na familia yangu yote 

1. Mwasisi na msimamizi wa Ujenzi shule za Kata zilijegwa jumla ya shule 2000 ndani ya miezi 6 tu ni kasoma leo watoto wa masikini wapo University . 

2. Ujenzi wa Mradi mkubwa wa maji kutoka ziwa Victoria kwenda shinyanga, Tabora na Singida, 

3. Kuvunja mkataba wa City water services bila kuogopa wa kuhofia chochote. 

4. Kuzuia Uuzwaji wa shirika la Nyumba NHC, 

5.Kuwaachia UVCCM kitega uchumi cha Jengo la maana 

6. Alidhubutu kuchukua maamuzi magumu kwa masilai ya Tanzania na kulinda heshima ya CCM 

7.Kuwafukuza wakurugenzi na wafanyakazi wa dhaifu serikali bila kuogopa chochote 

8.Kuruhusu Bodaboda kuingia Nchini na kutengeneza Ajira za Kutosha kwa Vijana 

9. Kuheshimu kanuni na taratibu zote za CCM 

10. Kutekeleza ILANI ya chama chake na Kutimiza ahadi kwa asilimia 100% Jimboni kwake Monduli hivyo Nampendekeza Kuwa Rais wangu 2015.
Ads by PlusHDV1.9Ad Options
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger