Saturday 31 October 2020

Tanzia : MUIGIZAJI MAARUFU WA FILAMU YA JAMES BOND AFARIKI DUNIA

James Bond
Sir Sean Connery, muigizaji wa sinema ya James Bond amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 90, familia yake imethibitisha.

Muigizaji huyo wa Uskochi alifahamika sana kwa kuwa mhusika wa katika sinema ya James Bond, na alikuwa wa kwanza kuleta sinema hiyo katika ukumbi wa sinema.

Wasanii tofauti wameigiza nafasi ya James Bond katika filamu kadhaa, lakini mcheza sinema gwiji, Sean Connery, ndiye aliyecheza nafasi hiyo kwa mara ya kwanza.

Jason Connery, mtoto wa kiume wa nyota huyo aliyependwa na Waingereza wengi, amesema baba yake amefariki kwa amani akiwa usingizini mjini Nassau katika visiwa vya Bahamas, ambako ana nyumba yake, baada ya hali yake kutokuwa nzuri kwa muda mrefu.

"Wote tunafanyia kazi kuelewa tukio hili kubwa kwa kuwa ndio kwanza limetokea," aliongeza, akielezea kifo cha baba yake kuwa ni "pigo kwa watu wote duniani ambao walifurahia zawadi aliyokuwa nayo kama muigizaji.

Hafla ya heshima za mwisho kwa Connery itakayofanyika baadaye, kwa mujibu wa ofisa habari wake.

Kazi yake ya uigizaji wa miongo mitano ilimwezesha kushinda tuzo ya Oscar mwaka 1988 kutokana na jukumu lake katika 'The Untouchable'.

Filamu zingine alizoigiza Sir Sean ni pamoja na The Hunt for Red October, Highlander, Indiana Jones na the Last Crusade and The Rock.

Jason Connery alisema baba yake "alikuwa na sehemu kubwa ya familia yake Bahamas ambayo ilikuwa naye" alipofariki usiku mjini Nassau.

Alisema: "Sote tunajaribu kukubaliana na msiba huu mkubwa kwani limetokea sasa, ingawa baba yangu amekuwa mgonjwa kwa muda.

"Ni siku ya huzuni kwa watu wate waliomfahamu baba yetu mpendwa na watu wote waliovutiiwa na uigizaji wake kote duniani.

Sir Sean, anayetokea Fountainbridge, Edinburgh aliigiza filamu ya first James Bond mwaka 1962 na kuendelea mbele na kuigiza filamu zingine tano rasmi - na zingine ambayo sio rasmi kama vile Never Say Never Again mwaka 1983.

Aliamminiwa na watu wengi kuwa muigizaji mahiri ambaye aliigiza 007 kwa muda mrefu, akiitwa majina hayo.

Alikabidhiwa tuzo ya knigh na Malikia Queen katika Holyrood Palace mwaka 2000. Mwezi Augosti, alisherehekea mwaka wa 90 wa siku yake ya kuzaliwa.
Aliunga mkono kwa muda mrefu uhuru wa Uskochi, akisema hayo katika mahojiano kuelekea kura ya maoni ya mwaka 2014 na kugusia kwamba huenda akarejea nyumbani kutoka Bahamas na kuishi Scotland inadapo itapiga kura kujitenga na Uingereza.

Waziri wa Kwanza wa Scotland Nicola Sturgeon amesema: "Nimevunjika moyo kupokea taarifa za kifo cha Sir Sean Connery. taifa letu linaomboleza kwa kumpoteza mpendwa wetu.

Mcheza filamu huyo, ambaye pia alipewa na malkia wa Uingereza heshima ya kuwa Sir mwaka 2000, alitwaa tuzo kadhaa wakati wa kipindi cha uigizaji wake kilichodumu kwa miongo, zikiwemo tuzo za Oscar, Golden Globes na Bafta.

Lakini ilikuwa ni sinema maarufu ya 007, aliyoigiza akitumia Kiingereza chenye lafudhi ya Scotland akiigiza kama mpelelezi aliyekuwa na leseni ya kuua, iliyompatia umaarufu mkubwa duniani kote.

Alikuwa ni muigizaji wa kwanza kutoa maneno yasiyosahaulika ya "Bond, James Bond" na aliigiza filamu sita zilizotokana na mtunzi wa vitabu vya hadithi, Ian Fleming.

"Alikuwa na siku zote ataendelea kukumbukwa kama James Bond halisi," walisema watayarishaji filamu maarufu, Michael G. Wilson na Barbara Broccoli.

Mara kadhaa , mcheza sinema huyo kutoka Scotland alipigiwa kura na mashabiki ya kuwa muigizaji bora wa nafasi ya Bond, akiwashinda waigizaji wengine kama Daniel Craig wa sasa na Roger Moore.


Share:

AIRBUS AINA YA A220 -300' YENYE UWEZO WA KUBEBA ABIRIA 132 YATUA DODOMA KWA MARA YA KWANZA


 
Ndege aina ya Airbus A220-300 yenye uwezo wa kubeba abiria 132, ikitua kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa ndege wa Dodoma baada kufanyiwa marekebisho kwa kupanuliwa kwa njia ya kutua na kufikia urefu wa kilometa 2.8.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt.Bilinithi Mahenge,akizungumza mara baada ya kuipokea  Ndege aina ya Airbus A220-300 yenye uwezo wa kubeba abiria 132,ambayo imetuwa kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa ndege wa Dodoma baada kufanyiwa marekebisho kwa kupanuliwa kwa njia ya kutua na kufikia urefu wa kilometa 2.8.
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini(TANROAD), Mhandisi Patrick Mfugale,akitoa taarifa mara baada ya kuipokea Ndege aina ya Airbus A220-300 yenye uwezo wa kubeba abiria 132, ikituwa kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa ndege wa Dodoma baada kufanyiwa marekebisho kwa kupanuliwa kwa njia ya kutua na kufikia urefu wa kilometa 2.8.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dk.Leonard Chamuriho,akizungumza mara baada ya kuipokea Ndege aina ya Airbus A220-300 yenye uwezo wa kubeba abiria 132, ikituwa kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa ndege wa Dodoma baada kufanyiwa marekebisho kwa kupanuliwa kwa njia ya kutua na kufikia urefu wa kilometa 2.8.
Abiria wakishukwa kwa mara ya kwanza wakiwa na Ndege aina ya Airbus A220-300 yenye uwezo wa kubeba abiria 132,baada ya kutua katika Uwanja wa ndege wa Dodoma.
Baadhi ya wakazi wa Dodoma wakishuhudia Ndege aina ya Airbus A220-300 yenye uwezo wa kubeba abiria 132, ikituwa kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa ndege wa Dodoma.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt.Bilinithi Mahenge akiwa katika picha mbalimbali mara baada ya kuipokea Ndege aina ya Airbus A220-300 yenye uwezo wa kubeba abiria 132 baada ya kutua kwa mara ya kwanza katika uwanja wa Dodoma
…………………………………

Na Alex Sonna,Dodoma

Mambo yamezidi kunoga huku shangwe na mafuriko ya wakazi wa Dodoma baada ya kuiona Ndege aina ya Airbus A220-300 yenye uwezo wa kubeba abiria 132,kwa mara ya kwanza ikituwa katika Uwanja wa ndege wa Dodoma baada kufanyiwa marekebisho makubwa kwa kupanuliwa kwa njia ya kutua na kufikia urefu wa kilometa 2.8.

Ndege hiyo imetua jijini Dodoma na kupokelewa na viongozi mbalimbali,wananchi huku wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt.Bilinithi Mahenge.

Baada ya kupokea ndege hiyo, Dk.Mahenge amesema kuwa kutua kwa ndege hiyo inatokkana na Juhudi za Rais Dkt.John Magufuli kwa kuleta maendeleo kwa watanzania ili kurahisisha huduma za usafiri wa anga.

Hivyo Serikali imeamua kuboresha miundombinu ya huduma za usafiri wa ndege katika jiji la Dodoma ambao utawasaidia wakazi wa Dodoma kuachana na gharama kubwa za usafiri walizokuwa wakitumia awali kabla ya kuboreshwa kwa huduma za usafiri.

“Uwapo wa ndege hii ni mkubwa itakuwa inabeba abiria 132 kwani hapa zamani tulikuwa na ndege ambayo ilikuwa inabeba abiria 12 na bei yake ilikuwa ni Sh.530,000 wakati hii bei unaenda Dar es Salaam na kurudi ,”amesema Dkt.Mahenge

Kwa kweli nipende kusema kuwa kazi kubwa imefanywa na Rais Dkt,Magufuli kwa kuwajali watu wa kila aina kwa kuwaleta maendeleo kwa haraka lazima tumpongeze kwa hilo maana wana Dodoma ametushibisha tuendelee kumsaidia ili azidi kuing’arisha nchini yetu.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini(TANROAD), Mhandisi Patrick Mfugale, amesema kuwa uwanja huo awali ulikuwa na urefu wa kilometa 2.5 lakini kwasasa una kilometa 2.8 hivyo ndege zenye ukubwa wa ndege hii iliyotuwa zitakuwa zinatua jijini hapa.

Kwa upande wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dk.Leonard Chamuriho, amesema kuwa uwanja huo ulipanuliwa kwa awamu mbili ya kwanza ilikuwa kutua kwa ndege ya Bombadier yenye uwezo wa kubeba abiria 76 na hatua ya pili ni hatua ya kupanua ili ndege yenye uwezo wa kubeba abiria 132.
Share:

POLISI WATOA ONYO MAANDAMANO BAADA YA WAPINZANI KUKATAA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU TANZANIA


Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, CP Liberatus Sabas.
***
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, CP Liberatus Sabas, amesema kuwa jeshi la polisi halitamvumilia mtu yeyote awe kiongozi wa chama au mfuasi, atakayefanya maandamano batili na kama kuna yeyote ambaye hakuridhika na matokeo afuate taratibu za kisheria kudai haki zao kama zipo.

CP Sabas ametoa kauli hiyo hii leo Oktoba 31,2020, na kuwasihi akina mama kuongea na watoto wao kwamba, wasithubutu kushiriki katika maandamano hayo na wasije wakarubuniwa na watu ambao hawana nia nzuri na Taifa.

"Nasisitiza kwamba jeshi la polisi halitakuwa na simile kwa yeyote atakayejihusisha na chokochoko hizi ambazo tunaziona zinaanza kuanzishwa na watu hawa ambao hawalitakii mema Taifa hili, nawaomba akina mama mkanye mwanao kwa sababu mwisho wa siku mtoto atakapopata matatizo atakulilia mama, sasa kabla matatizo hayajamfika nakuomba mkanye mwanao", amesema CP Sabas.

Kauli hiyo ya jeshi la polisi imekuja baada ya Vyama vya ACT Wazalendo na Chadema kutangaza kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu katika ngazi ya udiwani, ubunge, uwakilishi na urais na kutaka urudiwe.

Vyama hivyo vimetoa tamko lao leo Jumamosi Oktoba 31 2020, ikiwa ni muda mfupi tangu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imtangaze John Magufuli wa CCM kuwa mshindi wa kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano, na siku kadhaa baada ya chombo kama hicho Zanzibar kumtangaza Dk Hussein Mwinyi kuwa rais wa visiwa hivyo.

Pia tamko hilo limekuja baada ya matokeo ya ubunge kuonyesha kuwa kati ya viti 256, ACT Wazalendo imeshinda viti vinne, CUF vitatu na Chadema kimoja.

Via Mwananchi
Share:

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) Yafungua Awamu ya Tatu ya Udahili wa mwaka wa masomo wa 2020/2021

 Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza kufunguliwa kwa Awamu ya Tatu ya udahili wa Shahada ya Kwanza kwa mwaka wa masomo wa 2020/2021 kuanzia Oktoba 30 hadi Novemba 4.

Katibu Mtendaji wa TCU, Prof. Charles Kihampa amesema, hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya waombaji kukosa udahili na Jumuiya ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (TAHLISO) na baadhi ya Vyuo vyenye nafasi kupeleka maombi ya kuongezeka muda.

Kufunguliwa kwa dirisha la Awamu ya Tatu kunatoa fursa kwa waombaji ambao hawakuweza kudahiliwa au hawakuweza kuomba udahili katika Awamu mbili zilizopita kutumia nafasi hii ili kupata udahili.

Aidha, amewakumbusha waombaji waliodahiliwa katika chuo zaidi ya kimoja katika Awamu ya Kwanza na wale wa Awamu ya Pili kujithibitisha katika chuo kimojawapo kuanzia sasa.

 



Share:

JESHI LA DAR WAONYA..."OLE WAO WANAOPANGA KUINGIA BARABARANI KUANDAMANA, KITAKACHOPAWATA WATAJUTA"

Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa onyo kali kwa mtu, watu au kikundi chochote cha watu ambao wanapanga kuingia barabarani kuandamana kwani halitawaachia na kitakachowatokea wasijutie.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewaambia waandishi wa habari jana jioni Oktoba 30,2020 kwamba wanazo taarifa kuna watu wamekaa vikao vya siri wakipanga mipango ya kuingia barabarani kuandamana.

Amefafanua uchaguzi ulikuwa umamalizila salama na amani lakini baada ya matokeo kuanza kutangazwa vimeibuka  vikundi vya watu wengine wakiwamo waliogombea  nafasi mbalimbali ambao wanaendelea kufanya vikao ya siri lakini mipango yao ni kutaka kwanza kuingilia mchakato wa  kutangaza matokeo hayo yanayoendelea.

Pia wanajaribu kuhamasisha wafuasi wao kuingia mtaani , na jambo linaloshangaza kufanya hivyo wengine wanaopanga mipango hiyo wameshindwa Hai, wameshindwa Kilimanjaro, wameshindwa Arusha lakini wamejikusanya  jijini Dar es Salaam kama eneo ambalo ni shamba la bibi, wanataka kufanya vurugu.

"Nimekuja kwa umma kutoa onyo kwao , kipindi cha kampeni ambacho tulikuwa wastaarabu sana ,tumewapa nafasi ya kunadi sera zao, na kipindi hiko kimeshikwa ,sasa tuko katika kutekeleza dhima na dhumuni la Jeshi la Polisi ambalo ni kulinda maisha ya watu na mali lakini ni pamoja na kuwalinda viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) ambao wanaendelea kukamilisha matokeo kwenye majimbo ambayo nafas ya urais yanaendelea kutolewa.

"Nitoe onyo wananchi mnaokaa Dar es Salaam wapuuzeni ,anayetaka kuingia mtaani aingie yeye, kama ana mke atangulize mke wake, kama ni mme atangulie yeye , tukutane naye tumejipanga na hatuna mjadala katika hili, tunachotaka kuhakikishia watanzania wote wanaokaa Dar es Salaam , mko salama na jeshi limesimama na linaendelea kufanya kazi yake, tumezunguka maeneo yote, tumekaa kuhakikisha mtu atakayeachiwa afanye lile analolifikiria.

"Niwaombe wale ambao watapata taarifa watu kutaka kuingia barabarani watupe taarifa mapema, tunaendelea kufuatilia lakini mahali popote watakapoanzia tutawa labda umbali wa hatua 10 na wasijutie kitakachowapata , kwasababu tumeamua kuhakikisha hatuwapi nafasi kuchezea demokrasia hii ambayo kimsingi kinachotangazwa ni maamuzi ya wananchi wenyewe,"amesema.

Amesisitiza hakuna sababu ya kwenda kugombea kama hauko tayari kushinda au kushindwa, yoyote anayeingia kwenye ushindani ategemee mawili, kupewa ama kukosa,waliokosa basi wavumilie na wanakatibishwa mwaka 2025 lakini kwa sasa mchezo wa kampeni kushawishi,kuvuruga havina nafasi."Hayo ndio maamuzi ya Watanzania ,yanayoendelea kutangazwa ni lazima tuyaheshimu na yoyote atakayepuuza asilie na kile atakachokutana nacho.Tumesimama kuhakikisha hatumuachii mtu nafasi ya kufanya lolote, na narudia tena mtu asijutie kwa lile atakalokutana nalo.

" Niwaombe watanzania wote wapuuze vitendo vya kuingia barabarani havina afya,havina baraka, lakini pia vinakinzana na demokrasia  yenyewe ,wananchi wameamua halafu unataka wagomee,unagomea ili umuongoze nani".
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi October 31



Share:

Friday 30 October 2020

Ally Keissy Aangushwa, Chadema Yashinda Nkasi Kaskazini


Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Nkasi Kaskazini amemtangaza Aida Khenani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa mshindi wa Ubunge katika Jimbo hilo baada ya kupata kura 21,226 akifuatiwa na Ally Keissy wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyepata kura 19,972.


Share:

James Mbatia Aangushwa Ubunge Vunjo, Kimei wa CCM Ashinda


Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Vunjo amemtangaza Dkt. Charles Kimei wa Chama cha Mapinduzi-CCM  kuwa mshindi wa Ubunge katika Jimbo hilo baada ya kupata kura 40,170 – Grace Kiwelu wa CHADEMA amepata kura 8,675, James Mbatia wa NCCR amepata kura 4, 949 na Agustino  Mrema kutoka TLP kura 606

Share:

CHADEMA YAPATA MBUNGE WA KWANZA UCHAGUZI MKUU 2020.... NI AIDA KHENANI, AMEMBWAGA ALLY KEISSY


Aida Khenani, mbunge mteule wa jimbo la Nkasi Kaskazini kupitia CHADEMA.

Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Nkasi Kaskazini, amemtangaza Aida Khenani, wa CHADEMA kuwa ndiye mbunge wa jimbo hilo baada ya kupata kura 21,226, na kumshinda Ally Keissy wa CCM aliyepata kura 19,972 na hivyo yeye kuwa mgombea wa kwanza kukitetea chama chake katika nafasi hiyo.

Aida Khenani kabla ya Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuvunjwa, alikuwa ni Mbunge wa Viti Maalum kuanzia mwaka 2015 hadi 2020 kupitia chama chake cha CHADEMA.

Mbali na CHADEMA kupata mtetezi wake wa kwanza Bungeni mpaka sasa tangu matokeo ya uchaguzi yaanze kutangazwa, chama cha CUF pia kinaye mwakilishi kutoka jimbo la Mtwara Vijijini, ambaye ni Shamsia Mtamba, aliyepata kura 26,262, na kumshinda aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kupitia CCM Hawa Ghasia aliyepata kura 18,505.

Katika matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 28 mwaka huu, mpaka sasa vyama vya upinzani yaani CHADEMA na kile cha CUF kina wawakilishi wawili pekee wa ubunge ambao tayari wamekwishatangazwa, huku wabunge wengine wa vyama vya upinzani wakishindwa kutetea majimbo yao ambayo kwa asilimia kubwa yamechukuliwa na CCM.

Chanzo - EATV
Share:

TPSD second round selected applicants 2020/2021

The Tanzania Public Service College Dar es Salaam Campus TPSD second round selected applicants 2020/2021 are the names of students who have passed the Second-round admission selection stage and successfully approved by TCU to join undergraduate studies at Tanzania Public Service College Dar es Salaam Campus (TPSD) for the 2020/2021 academic year second round application […]

The post TPSD second round selected applicants 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

AMUCTA second round selected applicants 2020/2021

The Archbishop Mihayo University College of Tabora AMUCTA second round selected applicants 2020/2021 are the names of students who have passed the Second-round admission selection stage and successfully approved by TCU to join undergraduate studies at Archbishop Mihayo University College of Tabora (AMUCTA) for the 2020/2021 academic year second round application window. The Archbishop Mihayo […]

The post AMUCTA second round selected applicants 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

STEMMUCO second round selected applicants 2020/2021

The Stella Maris Mtwara University College STEMMUCO second round selected applicants 2020/2021 are the names of students who have passed the Second-round admission selection stage and successfully approved by TCU to join undergraduate studies at Stella Maris Mtwara University College (STEMMUCO) for the 2020/2021 academic year second round application window. The Stella Maris Mtwara University […]

The post STEMMUCO second round selected applicants 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Mzumbe University MU second round selected applicants 2020/2021

Mzumbe University MU second round selected applicants 2020/2021 are the names of students who have passed the Second-round admission selection stage and successfully approved by TCU to join undergraduate studies at Mzumbe University (MU) for the 2020/2021 academic year second round application window. The Mzumbe University MU second round applications and MU second selection 2020/2021 […]

The post Mzumbe University MU second round selected applicants 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

KIUT second round selected applicants 2020/2021

The Kampala International University in Tanzania KIUT second round selected applicants 2020/2021 are the names of students who have passed the Second-round admission selection stage and successfully approved by TCU to join undergraduate studies at Kampala International University in Tanzania (KIUT) for the 2020/2021 academic year second round application window. The Kampala International University in […]

The post KIUT second round selected applicants 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

UAUT second round selected applicants 2020/2021

The United African University of Tanzania UAUT second round selected applicants 2020/2021 are the names of students who have passed the Second-round admission selection stage and successfully approved by TCU to join undergraduate studies at United African University of Tanzania (UAUT) for the 2020/2021 academic year second round application window. The United African University of […]

The post UAUT second round selected applicants 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

DMI second round selected applicants 2020/2021

The Dar es Salaam Maritime Institute DMI second round selected applicants 2020/2021 are the names of students who have passed the Second-round admission selection stage and successfully approved by TCU to join undergraduate studies at Dar es Salaam Maritime Institute (DMI) for the 2020/2021 academic year second round application window. The Dar es Salaam Maritime […]

The post DMI second round selected applicants 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

University second round selection 2020/2021

If you have applied for the second-round admission at various universities and colleges , the second-round selection process will be finalized by 18th October 2020 and second selection results will be out by 29th October 2020. Once the selection results are out, All the candidates who have applied for second round admission can visit the […]

The post University second round selection 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Regional Finance Coordinator – East & Southern Africa at Farm Radio International October, 2020

Position title: Regional Finance Coordinator – East & Southern Africa Position Location: Arusha, Tanzania; Addis Ababa, Ethiopia; Kampala, Uganda Reports to: Field Finance Manager (FFM) Contract term: 12 months (renewable) Deadline to apply: Open until filled Type of posting: External / Internal Nature and Scope: The Regional Finance Coordinator is a position of project financial […]

The post Regional Finance Coordinator – East & Southern Africa at Farm Radio International October, 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Country Director at WaterAid Tanzania

It’s hard to believe that today 844 million people do not have clean water and 2.3 billion do not have a decent toilet – around one in three of the world’s population. Every two minutes, a child under five dies from diarrheal diseases caused by poor water and sanitation. We started because no NGO like […]

The post Country Director at WaterAid Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Head of Policy & Advocacy at WaterAid Tanzania

It’s hard to believe that today 844 million people do not have clean water and 2.3 billion do not have a decent toilet – around one in three of the world’s population. Every two minutes, a child under five dies from diarrheal diseases caused by poor water and sanitation. We started because no NGO like […]

The post Head of Policy & Advocacy at WaterAid Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Head of Business Development and Planning at WaterAid Tanzania

It’s hard to believe that today 844 million people do not have clean water and 2.3 billion do not have a decent toilet – around one in three of the world’s population. Every two minutes, a child under five dies from diarrheal diseases caused by poor water and sanitation. We started because no NGO like […]

The post Head of Business Development and Planning at WaterAid Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Planning, Monitoring and Evaluation Specialist (PMES) at WaterAid Tanzania

It’s hard to believe that today 844 million people do not have clean water and 2.3 billion do not have a decent toilet – around one in three of the world’s population. Every two minutes, a child under five dies from diarrheal diseases caused by poor water and sanitation. We started because no NGO like […]

The post Planning, Monitoring and Evaluation Specialist (PMES) at WaterAid Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Community Linkage and Retention Program Officers (4 positions) at Tanzania Health Promotion Support (THPS)

Job Title: Community Linkage and Retention Program Officers (4 positions) Reports to: Zonal Technical Coordinator Position Location: Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, and Kilimanjaro Overall Job Summary The Community Linkage and Retention Program Officer ensures effective implementation in the areas of HIV and TB program linkages, community-based care, and adherence support for the USAID Police […]

The post Community Linkage and Retention Program Officers (4 positions) at Tanzania Health Promotion Support (THPS) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Community Linkage and Retention Technical Advisor (1 position) at Tanzania Health Promotion Support (THPS)

Job Title: Community Linkage and Retention Technical Advisor (1 position) Reports to: Technical Manager Position Location: Dar es Salaam Overall Job Summary The Community Linkage and Retention Technical Advisor provides technical leadership and oversight in the areas of HIV and TB program linkages, community-based care, and adherence support, for the USAID Police and Prison Activity […]

The post Community Linkage and Retention Technical Advisor (1 position) at Tanzania Health Promotion Support (THPS) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Quality Improvement/Gender Program Officer (1 Position) at Tanzania Health Promotion Support (THPS)

Job Title: Quality Improvement/Gender Program Officer (1 Position) Reports to: Technical Manager Position Location: Dar es Salaam, Tanzania Overall Job Summary: The Quality Improvement/Gender Program Officer (QI/G PO) is responsible for ensuring smooth running of multiple continuous quality improvement and gender efforts and initiatives. QI/G PO is responsible for capacity building, and coordinating implementation of […]

The post Quality Improvement/Gender Program Officer (1 Position) at Tanzania Health Promotion Support (THPS) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Tele-Remote Bogger Operator at AUMS

This position is responsible for loading and dumping cycles to and from development and production areas, allocated stockpiles, and haulage trucks. African Underground Mining Services (AUMS) is an international leader in mechanized hard rock underground mining. AUMS is part of Perenti (Formerly the Ausdrill Group), an ASX 200 company and Australia’s second largest integrated mining services provider.  […]

The post Tele-Remote Bogger Operator at AUMS appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Underground Safety Officer at AUMS

In return, we provide state of the art facilities, equipment and technology. We look forward to receiving your application for the following positions. African Underground Mining Services (AUMS) is an international leader in mechanized hard rock underground mining. AUMS is part of Perenti (Formerly the Ausdrill Group), an ASX 200 company and Australia’s second largest integrated mining […]

The post Underground Safety Officer at AUMS appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Estate Agriculture Head at Kilombero Sugar Company Limited

Kllombero Sugar Company Limited, the largest producer of sugar in Tanzania operating cohesively with lllovo Distillers Tanzania Limited (IDTL) and a member of lllovo Sugar Africa Limited (Africa’s largest sugar producer), Is seeking to recruit a dynamic and result oriented person to fill a vacancy of Estate Agriculture Head Job Purpose: The key objective of […]

The post Estate Agriculture Head at Kilombero Sugar Company Limited appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa October 30



Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger