Sunday 25 October 2020

MAGUFULI KUHITIMISHA RASMI KAMPENI ZA UCHAGUZI KESHO DODOMA

...

 

Baada ya siku 60 za kuzunguka nchi nzima kukutana na Watanzania na Kunadi Sera na Ilani bora ya CCM, hatimaye Mgombea Urais wa CCM anahitimisha Kampeni zake Dodoma na kurudi Makao Makuu.

Ni Kesho Jumatatu Oktoba 26, Dkt John Pombe Magufuli atahitimisha Kampeni zake Mkoani Dodoma. Watanzania wamesikia na wamejionea Sera nzuri zilizohubiriwa na CCM kote nchini na Sasa wako tayari kutoa kura Zote kwa CCM.

#KuraKwaMagufuli2020

#T2020JPM

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger