





Mabao ya Robin van Persie dakika ya 3, Daley Blind dakika ya17 na Georginio Wijnaldum dakika ya 90 yalitosha kupeleka vilio tena kwa mashabiki wa Brazil walioamua kuwazomea wachezaji na kocha wa timu yao Felipe Scolari.
Kwa kipigo hicho, Brazil wamefungwa mabao 10 katika mechi mbili ya nusu fainali dhidi ya Ujerumani na hii ya mshindi wa tatu dhidi ya Uholanzi.
0 comments:
Post a Comment