Saturday 12 July 2014

AJALI YA BASI LINDI:WATU 21 WAJERUHIWA KATIKA AJALI YA BASI KIJIJI CHA MCHINGA, LINDI

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Afisa wa polisi akisimamia mizigo ya abiria waliokuwa wakisafiri katika basi la SB lenye namba za usajili T607 BDG lililokuwa njiani kuelekea Dar es salaam kutoka Nachingwea na kupata ajali katika kijiji cha Mchinga mkoani Lindi. Abiria 21 wamejeruhiwa na wamelazwa kwa matibabu katika hospitali ya mkoa Lindi.
Basi la SB lenye namba za usajili T607 BDG lililokuwa njiani kuelekea Dar es salaam kutoka Nachingwea baada ya  kupata ajali katika kijiji cha Mchinga mkoani Lindi. Chanzo cha ajali hiyo bado kujulikana
Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe Ludovick Mwananzila akiwafariji majeruhi wa ajali hiyo
Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe Ludovick Mwananzila akimwangalia mmoja wa watoto ambao ni  majeruhi wa ajali hiyo.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger