Sunday 13 July 2014

MAHUSIANO: HIZI NI DALILI ZA MSICHANA MWENYE MAPENZI KWA MWANAUME JAPO HAWEZI KUSEMA

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 
1 KUONGEA NA KUKAA MUDA MWINGI NA WEWE
 
kama msichana anakupenda hatoichezea nafasi ya kukuona kukaa na kuongea na wewe. Siku zote atatafuta nafasi ya kuongea au kukuona. Unapoongea naye anakuwa makini kukusikiliza na hufurahi kila unachokiongea hata kama hakifurahisha.

2 ATAKUPA MAWASILIANO YAKE
 
hawezi kukunyima namba ya simu kwa mara ya kwanza hata kama ni siku ya kwanza mmeonana.

3 ATAKUTAMBULISHA KWA NDUGU NA RAFIKI ZAKE
 
hajali wengine wakimtazama wanapomuona yu na wewe. Atakutambulisha kwao bila kujali chochote.

4 Wivu
 
anajisikia wivu anapokuona na wasichana wengine. Unachart nao ukiwaita majina ya kimahaba.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger