Wednesday 23 July 2014

KUELEKEA UCHAGUZI 2015:: VIJANA WAAMUA KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE, HUYU NI MMOJA WAO

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY



RAJABU KAYAGWA KATIKA SHUGHULI ZA KUIMARISHA CHAMA

Katika kuelekea Mwaka wa Uchaguzi wa Madiwani, Wabunge pamoja na Rais Hapo Mwakani (2015). Inaonesha vijana wamedhamiria kufanya mapinduzi na kuvunja ukimya katika kunyakua nyadhifa muhimu katika vyama vya Siasa ikiwa ni tofauti na hapo awali kwamba ilizoeleka ni wazee peke yao tena wale wastaafu kutoka serikalini ndio walikuwa wanategemewa kugombea nyadhifa hizo.

 
Hiyo imedhibitishwa hivi leo baada ya Kijana Shupavu RAJABU KAYAAGWA kupitia Chama Cha CCM kutangaza nia ya Kuingia kwenye Kinyang'anyiro cha Kugombea Ubunge wa Jimbo la Kasuru Vijijini Katika Mkoa wa Kigoma.

Amebainisha niayake hiyo Kupitia Accounti yake ya Facebook Hivi leo na Kuandika Maneno Haya:


"MIMI MWL. RAJABU KAYAGWA(35) WA LUSESA KASULU NATANGAZA RASMI KUGOMBEA JIMBO LA KASULU VJIJINI (CCM),VIJANA WENZANGU,WAZEE,WAMAMA NA WANAONIPENDA NAOMBA DUA ZENU, NA KUNIUNGA MKONO. PIA WANAONICHUKIA NAKARIBISHA CHANGAMOTO ZENU. CCM OYEEE."
 
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger