
STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka amefunguka kuwa kwa sasa yeye na msanii mwenzake, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ ambaye aliwahi kukwaruzana naye wameshamaliza na kujikita katika kazi zaidi.
“Mimi na Jack kwa sasa tunafanya kazi hata Wema ambaye tulikuwa naye kwenye kundi moja tukiwa na filamu ya kumshirikisha tutamuita kwa sababu hatuna kinyongo kwani bifu hazijengi kikubwa tunafanya kazi tu,” alisema Rose.
0 comments:
Post a Comment