Wednesday 2 July 2014

ELIMU DUNIA:JE UNAKIJUA KIKUKU?,JE UMESHAWAHI KUONA MWANAMKE KAVAA BANGIRI MGUUNI?SOMA HAPA UJUE KINAMAANISHA NINI

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

vikuku ni tamaduni za kiafrica. ni urembo wa kupendezesha kiungo kama kuvaa cheni shingoni, helen sikioni, pete kidoleni, bangili mkononi, kipini puani shanga kiunoni na kikuku mguuni, mbona tukivaa shingoni hawasemi?? kwani mguu ni sehem ya siri hadi kusema ni vibaya, mimi nafikiri ni fikra za watu tena fikra potofu,
mimi napenda sana na ninavaa, siku nikivaa gold heleni na cheni basi napiga kikuku cha gold siku nikivaa silver heleni na cheni napiga kikuku cha silver siku niamua kuvaa culture, basi hata kikuku kinakuwa culture yote hiyo ni kupendezesha mwili wangu kama mwanamke.

tukiangalia ktk kabila la wamasai, hadi wanaume nao wanavaa tena ni wote, sasa je nao wale wote wanatumia tigo????? acheni fikra potofu watanzania, lile ni pambo msilitafsiri kiviile.

Lakini mtaani wanasema ni  biashara ukivalia kulia straight ila hautoi tigo , kushoto tigo posibility and miguu yote anything goes
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger