Sunday 21 August 2016

Wasimamizi wa Ukuta wa Chadema watangazwa

...



Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe 

 Chadema imetangaza safu yao ya kutoa elimu ya maandamano ya Ukuta.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe  ametangaza mkakati wa chama hicho kufanikisha mikutano na maandamano  ya walichokiita Umoja wa Kupinga Udikteta Tanzania (Ukuta), huku jeshi la polisi nalo likijiandaa kukabiliana nao.
Mbowe ameitaja mikakati hiyo ikiwamo kamati za kuhamasisha Ukuta.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger