Friday 26 August 2016

Picha: MWANAHABARI NGULI JENERALI ULIMWENGU APATA AJALI

...



Habari zilizotufikia katika chumba chetu cha habari ni kwamba Mwanahabari, Mwandishi na Mwenyekiti wa Bodi ya Gazeti la Raia Mwema Jenerali Ulimwengu amepata ajali asubuhi mapema leo. Yupo hospitali Muhimbili kitengo cha mifupa Moi kwa matibabu.Taarifa zaidi tutawaletea hivi punde.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger