Tuesday 23 August 2016

Shule nyingine ya sita yachomwa moto Arusha

...
motoWatu wasiojulikana wamechoma ofisi ya Mkuu wa Shule ya Sekondari Winning Spirit ya Arusha na kufanya idadi ya shule zilichomwa moto ndani ya miezi miwili mkoani hapa kufikia sita.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo alisema jana kuwa tukio hilo lililotokea saa saba usiku na taarifa za kiintelejensia zinaeleza kuwa kuna kundi la watu linalofadhili watu wanaofanya uhalifu huo.
Alisema jeshi la polisi linafanya uchunguzi wa kina kuubaini mtandao huo na kuchukua hatua za kisheria.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger