Tuesday 23 August 2016

Picha zilizovuja ikidaiwa ni ndege mpya za Air Tanzania

...

Rais John Pombe Magufuli alitangaza kuwa mapema mwezi September Serikali itanunua ndege mbili kubwa aina ya Bombardier Q400 kutoka nchini Canada ili kuweza kulipa uhai shirika la ndege la Tanzania (ATCL).
Ikiwa zimebaki siku kadhaa itimie ahadi ya Rais Magufuli hizi ni picha ambazo zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii lakini bado tunaendelea kutafuta mamlaka husika kuthibitisha lakini pia kujua taarifa zaidi kuhusiana na ndege hizo mpya.
ATCL IMG-20160823-WA0019 IMG-20160823-WA0017
ATCL 2
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger