Monday 22 August 2016

Picha: Jeshi la polisi mkoa wa Singida likifanya majaribio ya silaha

...
Baadhi ya askari polisi mkoani Singida, wametembeza silaha zao kwenye mitaa mbalimbali Singida mjini, kwa ajili ya kuwaonyesha wananchi silaha zilizonunuliwa kwa kodi zao. Kaimu Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SSP Mayalla Towo, alisema zoezi hilo ni la kawaida na halina uhusiano na jambo lolote.(Picha na Nathaniel Limu).













Baadhi ya askari polisi mkoa wa Singida wakiwa kwenye paredi muda kabla hawajaanza kuonyesha silaha zao kwa wakazi wa mji wa Singida.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger