Tuesday 18 December 2018

BEKI HUYU WA YANGA ATUMA UJUMBE HUU KUELEKEA MECHI YA AFRIKA LYON

...
LICHA ya Timu ya Yanga ambao ni Mabingwa historia kukumbana na sintofahamu kuhusu Kocha wa timu hiyo Mkongoman Mwinyi Zahare na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili Hussein Nyika ,Beki kinda wa timu hiyo, Paul Godfrey amesema wapo tayari kuvaana na African Lyon katika mchezo wao wa Ligi Kuu utakaopigwa mkoani Arusha siku ya alhamisi katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Yanga wamefanikiwa kufanya vizuri kwenye michezo yao 16 waliyocheza mpaka sasa bila kupoteza hata mchezo mmoja. “Tupo sawa kwa ajili ya mchezo wetu dhidi ya African Lyon, hatuna mashaka kwa…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger