Sunday 30 December 2018

MBUNGE NACHINGWEA ALIA NA KASI NDOGO MALIPO YA KOROSHO

...
Na Bakari Chijumba, Mtwara Mbunge wa jimbo la Nachingwea Mkoani Lindi, Hassani Massala amefika mjini Mtwara ambapo ni kituo kikuu cha malipo kwa wakulima wote wa korosho kwa kipindi hiki, Lengo likiwa ni kufuatilia kuhusu Hoja za wakulima wa Korosho kwenye jimboni lake, kwa madai licha ya takwimu mbalimbali anazozipata lakini bado kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wakulima, hivyo kumlazimu kama mwakilishi afuatilie. Akizungumza na mtandao wa DarMpya hii Leo, katika eneo la uwanja wa ndege mjini Mtwara, Masala amesema kwenye jimbo lake la Nachingwea, bado kumekuwa na malalamiko kutoka…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger