Sunday 30 December 2018

OLE WAO WANAOHUJUMU MIUNDOMBINU YA UMEME – WAZIRI KALEMANI

...
  Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani jana (Desemba 29, 2018) amefanya ziara wilayani Kwimba, Mkoa wa Mwanza na kutoa onyo kali kwa watu wenye tabia ya kuhujumu miundombinu ya umeme pamoja na vishoka. Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vijiji vya Ngulla na Ibindo, akiwa katika ziara ya kazi kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme, kuwasha umeme na kuzungumza na wananchi; Waziri Kalemani alitahadharisha kuwa serikali haitamvumilia yeyote atakayebainika kufanya hayo. “Mtu atakayebainika akikata nguzo, akiiba nyaya, akichezea transfoma kiasi cha kukosesha umeme wananchi, Mkuu wa Wilaya wa eneo husika…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger