Friday 28 December 2018

SAKATA LA VIKOKOTOO VYA WAFANYAKAZI LAGEUKA KAA LA MOTO,WAZIRI MHAGAMA AKALIA KUTI KAVU,BULAYA ATAKA AJIUZULU

...
Ikiwa ni masaa machache yamepita tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amekutana na Shirikisho la Chama cha Wafanyakazi (TUCTA) na kujadili masuala ya vikokotoo na kulitolea maamuzi, mbunge wa Bunda Mjini (CHADEMA) amemtaka waziri Jenista Mhagama kujiuzulu pamoja na mkurugenzi wa SSRA. Mbunge wa Bunda Mjini (CHADEMA), Ester Bulaya ambaye pia ni Waziri Kivuli (Ofisi ya Waziri Mkuu) wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, amewataka waziri Mhagama kujiuzulu, baada ya Rais Magufuli kuagiza vikokotoo vya mafao ya wafanyakazi katika mifuko ya hifadhi…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger