Saturday 29 December 2018

DKT MWANJELWA:MADEREVA BAJAJI FUATENI SHERIA NA MSIKUBALI KUTUMIKA KISIASA

...
Mbeya. Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora, Dakta Merry Mwanjelwa, amewataka madereva wa babaji jijini Mbeya kuendelea kufuata taratibu na sheria za usalama barabarani ili kulinda maisha yao na ya watu wengine. Dkt. Mwanjelwa amezungumza hayo leo alipokuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa ofisi ya chama cha kuweka na kukopa cha Bajaji Saccos jijini Mbeya, ambapo amesema vijana hao wameonesha kitu cha mfano hivyo ni vema wakaungwa mkono na kuelekezwa pale wanapohitaji msaada waweze kuwasaidia ili wajikwamue kiuchumi. Aidha, amewataka askari wa usalama…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger