Saturday 29 December 2018

UJENZI WA BARA BARA YA NJOMBE KUELEKEA RUVUMA WANUKIA

...
Na Amiri kilagalila Naibu waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano Elias kwandikwa amewahakikishia wananchi wa Njombe kuanza kwa ujenzi wa bara bara kuu ya Njombe, Ruvuma ili kuondokana na uchakavu wa bara bara hiyo kwa baadhi ya maeneo kutokana na kudumu tangu ilipo jengwa. Naibu waziri ameyasema hayo mkoani Njombe wakati akizindua ukumbi mkubwa na wakisasa wenye ukubwa wa sikwea mita 1000 ukiwa na kumbi tatu ndani uliopo Hagafilo halmashauri ya mji wa Njombe unaomilikiwa na mbunge wa jimbo la Njombe mjini Edward france Mwalongo. “watu wa Njombe mmekuwa na…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger