Saturday 29 December 2018

SHILINGI BILIONI 8.5 ZAELEKEZWA MACHINJIO YA VINGUNGUTI

...
Na Heri Shaban Serikali imetenga shilingi bilioni 8.5 kwa ajili ya Machinjio ya Kisasa eneo la Vingunguti Wilayani Ilala. Hayo yalisemwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salam Paul Makonda katika hafla ya kutoa zawadi ya Mwaka Mpya wakati akigawa ng’ombe kwa Jeshi la Polisi na Hospitali za Mkoa wa Dar es Salam. “Serikali hivi karibuni inatarajia kuzindua ujenzi wa machinjio ya Kimataifa Rais John Magufuli ataweka jiwe la Msingi katika machinjio haya ya VINGUNGUTI yatakayo gharimu bilioni 8.5 “alisema Makonda. Makonda alisema katika Afrika Mashariki machinjio hayo ya…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger