Saturday 29 December 2018

KWA RATIBA HII YA CAF SIMBA KWAO SAFI,MNYAMA ANAWAJULIA VIZURI WAARABU ,”TRY AGAIN” ATOA NENO HILI

...
NA KAROLI VINSENT WANAOZANI kuwa Mabingwa wa Ligi kuu soka Tanzania Bara,Timu ya Simba kuwa wamefika mwisho kwenye hatua ya makundi basi wajue wamepotoka. Wanamsimbazi hao wakiwa tayari wamewafahamu wapinzani wao katika Ligi ya Mabingwa Afrika ambao wote wapo kundi (D) ambapo kuna timu za AS Vital, Al Alhy, na JS Saoura, Simba ambayo ni timu pekee hapa nchini ambayo inawajulia waarabu basi kwa hatua ya kukutana nao ni njia nyepesi kuwaondoa baada ya kufanya hivyo miaka ya nyuma. Simba ambao wananolewa na Kocha mwenye “Fomesheni” ya hatari .Mbelgiji Patrick…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger