Friday 28 December 2018

NAIBU WAZIRI NISHATI : LENGO LA SERIKALI KUWAFIKISHIA UMEME, NI MUUTUMIE KAMA FURSA NA KWA SHUGHULI ZA UZALISHAJI

...
Naibu waziri wa nishati Subira Mgalu amewataka wananchi wanaounganishiwa umeme kupitia miradi ya serikali wautumie kama fursa ya kuongeza shughuli za uzalishaji.    Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu akizungumza na wananchi wa Kitongoji cha Kimarang’ombe wakati alipofanya ziara ya kuwasha umeme vijijini katika wilaya ya Bagamoyo. Amesema hayo wakati alipokuwa kwenye ziara ya kukagua miradi ya usambazaji umeme vijijini iliyoambatana na kuwasha umeme vijijini wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani ambapo amewataka wananchi hao kutumia umeme kama fursa yao katika masuala ya uzalishaji badala ya kutumia kama mwanga tu. “Tusifikirie matumizi…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger