Saturday 29 December 2018

PICHA: Watumishi Jijini Mwanza Waandamana Kuunga Mkono Agizo La Rais Magufuli Kuhusu Kikokotoo

...
Waandamanaji hao wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe mbalimbali wakipita katika barabara ya Kenyatta wakielekea kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ili kufikisha ujumbe wao wa kumpongeza Rais John Magufuli baada ya kuiagiza mifuko ya hifadhi kuendelea kulipa malipo ya waastafu kwa kutumia utaratibu wa zamani wakati wadau wakiendelea na majadiliano hadi 2023.

Watumishi mbalimbali wa umma wakiimba wimbo wa mshikamano baada ya kuhitimisha maanandamano yao ya kuunga mkono agizo la Rais John Magufuli la kuiataka mifuko ya hifadhi ya jamii kuendelea na utaratibu wa zamani kulipa mafao ya wastaafu badala ya kutumia kikokotoo kipya. Picha zote na Daud Magesa
Waandamani hao wakiingia kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza jana kuunga mkono agizo la Rais John Magufuli kwa mifuko ya hifadhi ya jamii kuendelea kuwalipa watumishi waliostaafu mafao yao kwa kutumia utaratibu wa zamani.


from MPEKUZI http://bit.ly/2SmraRH
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger