Saturday 29 December 2018

MADEREVA BAJAJI WAAGIZWA KUFUATA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI

...
Mbeya Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora,Dkt Merry Mwanjelwa,amewataka madereva wa babaji jijini Mbeya kuendelea kufuata taratibu na sheria za usalama barabarani ili kulinda maisha yao na ya watu wengine. Aidha amewataka askari wa usalama barabarani kuwaadhibu wale wasiofuata sheria za barabarani na kuacha kuwanyanyasa madereva kwa kuwatukana,kuwapiga na kuwadai rushwa akiita kitendo hicho kuwanyima haki vijana waliojitoa katika kujiajiri wenyewe. Dkt.Mwanjelwa amezungumza hayo leo,alipokuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa ofisi ya chama cha kuweka na kukopa cha Bajaji Saccos jijini Mbeya ambapo…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger