Sunday 30 December 2018

KATIKA KUFUNGA MWAKA UWT PWANI YAFUNGA 2018 NA HILI

...
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) mkoa wa Pwani,Bibi Farida Mgomi, ametoa shukrani nzito kwa viongozi wote wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Serikali kwa kuonesha ushirikiano mkubwa kipindi ambacho walikuwa ziarani katika wilaya zote za mkoa huo. UWT Mkoa wa Pwani walianza ziara yao mwanzoni mwa mwezi wa saba (7)na kumaliza mwanzoni mwa mwezi wa Kumi na mbili (12) Wakiwa katika Ziara zao huko wilayani walipokelewa vizuri na Viongozi mbalimbali akiwemo Mwenyekiti wa Chama wa Wilaya, Mkuu wa Wilaya,Mwenyekiti wa Halmashauri, Mbunge wa Jimbo husika, Viongozi wa Jumuiya…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger