Monday 31 December 2018

WANAOMILIKI BAABARA ZA AFYA BILA KUFUATA SHERIA KUANGUKIWA NA TAMISEMI

...
Wamiliki wa Maabara binafsi za Afya wametakiwa kufuata sheria na kanuni za kumiliki Maabara binafsi ikiwemo kulipa ada stahiki za uhakiki wa ubora wa huduma na ukaguzi za kila mwaka na yeyote atakeyekiuka hatua kali za kisheria dhidi yake zitachukuliwa. Akizungumza na waandishi wa Jijini Dar es salaam leo, Mkurugenzi wa Tiba WAMJW na ni Mwenyekiti Bodi ya usajili wa maabara binafsi za Afya (PHLB)Dkt Dorothy Gwajima amesema kuwa wasiofuata sheria na kutoa huduma bubu huku wakiwa karibu na ngazi za serikali za mitaa hivyo bodi itashirikiana na tamisemi kuhakikikisha…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger