Sunday 30 December 2018

KAYA MASKINI WAELEZA WALIVYONUFAIKA NA FEDHA ZA TASAF, WABORESHA MAKAZI.

...
  Na Dinna Maningo,Tarime. Baadhi ya kaya maskini Wilayani Tarime mkoani Mara wameeleza kunufaika na fedha zitolewazo na mfuko wa maendeleo ya Jamii(TASAF) lengo likiwa kuwasaidia ili wajikwamue kimaisha katika kujiongezea kipato. Wakizungumza wakati wakipokea fedha za miezi miwili ya Novemba na Desemba katika viunga vya shule ya msingi Buhemba kata Bomani wamesema kuwa tangu waingizwe kwenye mpango wakunusuru kaya maskini wameweza kununua mifugo na fedha zingine zimewasaidia kujikimu kimaisha. Alex Muhagama miaka (73) mkazi wa mtaa wa Buhemba ambaye upokea sh.20,000 alisema kuwa kulingana na umri wake hana uwezo…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger