Saturday 29 December 2018

WATU KUMI WAHUKUMIWA MIAKA 20 JELA KWA KUHUJUMU UCHUMI

...
Na,Naomi Milton Serengeti Mahakama ya wilaya ya Serengeti imewahukumu watu 10 kifungo cha miaka 20 jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia katika shauri la uhujumu uchumi 69/2018 kwa makosa mbalimbali ikiwemo kupatikana na nyara za Serikali bila kuwa na kibali Kabla ya kusomwa kwa hukumu hiyo mwendesha mashtaka wa Jamhuri Emmanuel Zumba aliwataja washitakiwa hao kuwa ni Juma Chacha(44)Walter Akida(55)Kyaro Jackson(30)Hamis Reuben(35)Nyaisa Mtatiro(38) Wengine ni Adrew Tanu(20)Matiko Msamba(48)Raphael Walter(21)Juma Muhere(45)na Fred Tanu(28) wakazi wa Kijiji cha Nyamatoke wilayani hapa Zumba alisema wote kwa pamoja wanashitakiwa kwa makosa matano…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger