Monday 31 December 2018

ANUSURIKA KIFO KWA KUCHOMWA MKUKI KISA UGOMVI WA SHAMBA

...
Na,Naomi Milton Serengeti Mwita Mtatiro(30) mkazi wa Kijiji cha Kwitete wilayani Serengeti amenusurika kufa baada ya kuchomwa mkuki na mtu aitwaye Nkori Mwita mkazi wa Kijiji cha Kwitete chanzo kikielezwa kuwa ni mgogoro uliopo baina yao kuhusu mpaka wa shamba Mtatiro aliyelazwa wodi ya wanaume kitanda namba 2 katika hospital Teule ya Nyerere Ddh anaugulia maumivu huku akiwa na jeraha eneo la kifuani na ubavuni wakati hali yake ikionekana kuwa sio nzuri kwani mpaka sasa hajaweza kuinuka wala kuzungumza Akisimulia chanzo cha tukio mmoja wa majirani aliyemfikisha Hospitalini hapo Chacha…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger