Sunday 30 December 2018

MBUNGE NJOMBE ASIMAMA JUU YA KITANDA KUTAFUTA MTANDAO WA SIMU

...
Na.Amiri kilagalila Changamoto ya mawasiliano kwa Njia ya simu ni moja ya shida ambayo imekuwa ikiyakumba baadhi ya maeneo hapa nchini hususani katika maeneo ambayo ni mapya kiutawala kama ilivyo katika maeneo machache ya wilaya ya Ludewa na jimbo la Lupembe mkoani Njombe. Kutokana na changamoto hiyo,Mbunge wa jimbo la Lupembe lililopo halmashauri ya wilaya ya Njombe kaskazini mwa mkoa huo mh.Joram hongoli,amemuomba Naibu waziri wa ujenzi Elias kwandikwa wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Lupembe kuwasaidia kutatua changamoto hiyo kwa kuwa yeye ni miongoni mwa waathirika wakubwa wanaokosa…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger